FEATURE
on Aug 15, 2023
386 views 2 mins

Kamati ya Bunge ya Ustawi wa Maendeleo ya Jamii imempongeza Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha ustawi wa vijana na Watu wenye Ulemavu kujikwamua kiuchumi. Kauli hiyo imetolewa leo Agosti 15, 2023 bungeni na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Fatuma Toufiq kwenye kikao cha kamati cha kupokea taarifa ya utekelezaji wa Mfuko wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 15, 2023
341 views 13 secs

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limetoa mwezi mmoja kwa wadaiwa sugu kulipa madeni, na kuwa watakao kaidi maelekezo hayo, watakuwa wameruhusu Shirika kuwatangaza katika vyombo vya habari ili Mashirika na makampuni mengine yasiingie kwenye makubaliano ya kibiashara na mtu au kampuni inayodaiwa. Hayo yamebainishwa leo Agosti 15, 2023 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 15, 2023
381 views 2 mins

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeipongeza Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania TANTRADE kwa kuboresha mazingira ya biashara hususani Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) 2023. Vilevile Kamati hiyo imeiagiza TANTRADE kupitia Sheria na kuwa na mikakati mahususi ikiwemo ya uboreshaji wa miundombinu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 13, 2023
524 views 40 secs

Jeshi la polisi Mkoani Mwanza linamshikilia Said Mfaume (32) ambaye ni Mtaalamu wa IT na Mkazi wa Arusha kwa kumchoma na kumjeruhi Mpenzi wake aitwaye Faudhia Juma (34) Mkazi wa Singida kwa kumchoma kisu katika maeneo mbalimbali ya mwili wake kisha na yeye kujaribu kujiua kwa kujichoma kisu tumboni hadi utumbo ukaningโ€™inia akiamini kuwa Mpenzi […]

FEATURE
on Aug 12, 2023
447 views 29 secs

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu โ€“ Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amemuagiza mkandarasi anayejenga uwanja wa mpira wa Kwaraa kumaliza kwa wakati ili kutumika katika kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru. Mhe. Katambi ametoa maelekezo hayo Agosti 11,2023 wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya uwanja huo kuelekea […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 12, 2023
396 views 3 mins

Ulimwenguni kote Leo huadhimisha kilele Cha siku ya Vijana ambayo inafanyika Katika mikoa mbalimbali Kwa Vijana Kwa kutatua matatizo Yao na kujadiliana hatima ya Vijana wa watanzania.afrika na ulimwengu mzima. Siku hii ya Vijana Duniani ilianzishwa na umoja wa mataifa mnamo mwaka 1999 na kupitishwa Kwa Azimio namba 54/120 Kwani tarehe 12 Agosti ya kila […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 11, 2023
435 views 2 mins

Bodi ya filamu imefungua dirisha la kupokea filamu Kwa ajili ya tamasha la Tuzo za filamu 2023 Tanzania ikiwa Moja wapo ya tamasha hilo ambalo linalokuza filamu za kitanzania na kuzidi kuleta chachu ya kuendeleza vipaji vya Sanaa Tuzo hizo zimekuwa msimamo wa mbele ambazo ndizo zinazoweza kukutambulisha kazi yako unayoifanya ya kutunga au kucheza […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 11, 2023
447 views 3 mins

Nchi ya Tanzania na nchi ya Malawi yaingia makubaliano wa miaka miwili Katika na ushirikiano Katika sekta ya nishati Makubaliano hayo ya understand kati ya lastcop na shirika la umeme la Malawi Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Katika ukumbi wa hayyat regency Leo ijumaa 11 mwezi august 2023 waziri wa nishati […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 11, 2023
629 views 14 secs

Wakili wa kujitegemea ametoa maoni juu uamuzi wa mahakama Kuu kanda ya Mbeya kwenye kesi ya Kikatiba namba 5, Mwaka 2023. Tamzama hapa https://www.youtube.com/watch?v=k8HfcQVFiyk

FEATURE
on Aug 10, 2023
486 views 18 secs

Muuguzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mawengi Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe, Ubatizo Sanga mwenye umri wa miaka 55 amefariki baada ya kupigwa na mchi wa kinu kichwani na baadaye kubakwa na Mtoto wake Asifiwe Haule mwenye umri wa miaka 25. Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva amethibitisha kutokea kwa tukio hilo […]