FEATURE
on Aug 3, 2023
1015 views 25 secs

Moja ya miradi maarufu ya majengo katika makutano ya Morocco jijini Dar es Salaam, inayoitwa ‘Morocco Square’ imekamilika kwa asilimia 97, linasema Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). NHC pia inasema kuwa tayari asilimia 94 ya maduka na maduka ya reja reja yamekodishwa, huku hoteli hiyo yenye vyumba 81 pia tayari imenunuliwa na kampuni ya […]

FEATURE
on Aug 3, 2023
446 views 30 secs

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linalomilikiwa na Serikali, Hamad Abdallah, alisema Tanzania inakosa mapato mengi kwa kuwanyima wageni haki ya kumiliki ardhi nchini. Anasema kuwa nchi nyingine, kama vile Rwanda, Kenya, na Afrika Kusini, na nchi zenye uchumi wa juu kama vile Dubai, zinaruhusu wageni kumiliki nyumba bila malipo. “Tunakosa kutumia […]

FEATURE
on Aug 2, 2023
685 views 33 secs

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewataka Wamachinga, Bodaboda na Madereva Bajaji kuepuka maneno chonganishi ambayo yatasababisha uvunjifu wa Amani ya Taifa. RC Chalamila ametoa kauli hiyo leo Agosti 2, 2023 akizungumza katika kongamano la Wamachinga, Bodaboda na Madereva Bajaji lenye lengo la kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan lililofanyika viwanja vya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 2, 2023
366 views 24 secs

Mwenyekiti wa ccm wilaya ya kigamboni Sikunjema Yahaya Shabani amesema wanakigamboni wanaenda kuwa mabalozi Katika chama chetu Cha mapinduzi Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam mwenyekiti wa ccm wilaya ya kigamboni sikunjema yahaya Shabani kila mtanzania aliesikiliza hutuba ya viongozi mbalimbali atakuwa ameelewa jambo zima la bandari “mtu asieelewa basi atakuwa haelewi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 2, 2023
405 views 3 mins

JESHI la kujenga Taifa Nchini(JKT) limewataka wananchi wa Mkoa wa Mbeya na Mikoa jirani kuendelea kujitokeza kwa wingi kwenye banda lake lililopo katika viwanja vya John Mwakangale ambako maonesho ya nane nane yanaendelea na kwamba wafike ili kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu shughuli za kilimo na kuongeza kuwa kwa upande wa shuguli zinazofanywa na jeshi hilo, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 1, 2023
481 views 2 mins

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata na linamuhoji kwa kina Selemani Agai Gaya mwenye umri 18) mkazi wa Kigamboni, kwa tuhuma za kutoa lugha ya matusi mtandaoni dhidi ya Viongozi wakuu wa Serikali Tanzania kwa kutumia mitandao wa kijamii. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo jumanne 01 […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 31, 2023
468 views 2 mins

WAZIRI wa Nishati January Makamba amezindua taarifa ya mwaka wa Fedha 2021/2022 na Mpango Mkakati wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wa miaka 10. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi huo uliofanyika leo Julai 31, 2023 jijini Dar es Salaam, Waziri Makamba ameipongeza TANESCO kwa hatua nzuri kuelekea mabadiliko makubwa ya Shirika ambayo hayajapata kutokea. “Hii […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 30, 2023
393 views 3 mins

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akihutubia maelfu ya wana CCM na wananchi waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Tanganyika Pakers Kawe jijini Dar es Salaam leo Julai 29,2023. …………………………… Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinachofanywa na Serikali katika suala la bandari ni utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 29, 2023
450 views 2 mins

“Mkesha wa Mwenge wa Uhuru 2023 kuambatana na kusherekea mafanikio ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Mkuu wa Wilaya ya Momba, Mhe. Fack Lulandala amesema usiku wa mkesha wa Mwenge wa Uhuru 2023 katika Halmashauri ya Mji Tunduma itakuwa ni sherehe kubwa ya kusherehekea mafanikio ya uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa […]

FEATURE
on Jul 29, 2023
222 views 2 mins

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana ametoa wiki moja kwa ofisi ya Maliasili Wilaya ya Itilima, kurejesha fedha Sh milioni 11 za maendeleo ya Kijiji cha Mbogo. Kinana pia amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahaya Nawanda na Mkuu wa Wilaya ya Itilima Faiza Salum kuhakikisha fedha hizo zinarejeshwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...