FEATURE
on Mar 12, 2025
53 views 4 mins

๐Ÿ“ŒAfafanua kuuuza na kununua umeme ni jambo la kawaida kwa nchi ๐Ÿ“ŒAsisitiza kununua umeme kwa Mikoa ya Kaskazini kunamanufaa kwa Mikoa husika ๐Ÿ“ŒAsema kukamilika kwa Mradi wa TAZA kutainufaisha Tanzania na biashara ya umeme Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba ametoa Ufafanuzi zaidi kuhusu hatua ya Serikali kununua Umeme nchini Ethiopitia kupitia […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 12, 2025
58 views 11 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewasili nchini Barbados kushiriki Mkutano wa Kimataifa kuhusu matumizi ya Nishati endelevu utakaofanyika katika jiji la Bridgetown kuanzia tarehe 12 hadi 14 Machi, 2025. Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Grantley Adams nchini humo, Dkt. Biteko amepokelewa na Waziri […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 12, 2025
72 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -Aagiza uhakiki wa madai ya Bi Martha ufanyike haraka kwa kuzingatia nyaraka stahiki. -Aguswa na utafutaji wa Bi Martha amchangia milioni 2 ya kwake binafsi kama mtaji -Atoa rai kwa wananchi kuwa na nyaraka stahiki pale wanapofanya kazi na Serikali Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 10, 2025
66 views 16 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme ( ETDCO) wameshiriki sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani zilizofanyika Kitaifa jijini Arusha.

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 9, 2025
77 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“ŒAsema Ajenda ya Nishati Safi ni ajenda ya Nchi hivyoย  tunaisimamia Afrika. ๐Ÿ“ŒNishati ni Mpango wa Maendeleo endelevu ๐Ÿ“ŒUmeme umesambazwa Vijiji vyote nchini *๐Ÿ“Arusha* Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassanย  amesema kuwa Tanzania ni Msimamizi wa Mpango Maalum wa Nishati Safi Afrika. Amesema hayo wakati akizungumzaย  […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 7, 2025
76 views 52 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wafanyabishara wa nyama choma Jijini Arusha wamesema kuwa  uchomaji nyama kwa kutumia majiko ya Nishati Safi ya kupikia kumerahisisha zoezi la uchomaji na kuongeza ladha ya nyama. Wamesema kuwa majiko  hao yamekuwa yakichoma kiasi kikubwa cha nyama kwa Muda Mfupi tofauti na awali walipokuwa wakitumia majiko mengine. Wamesema pamoja na Gesi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 7, 2025
94 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ *Asema lengo ni kuwa na uhakika wa kuendeleza Sekta ya Mafuta na Gesi Asilia* ๐Ÿ“Œ *Afunga Kongamano na Maonesho ya Petroli ya Afrika Mashariki* ๐Ÿ“Œ *Ataka Rasilimali na Mafuta na Gesi Asilia kuchangia maendeleo ya Sekta nyingine* Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 7, 2025
82 views 3 mins

ย NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Rashal Energies,ย  Farhiya Warsame, inayojenga Bomba la Gesi kutoka Kisemvule hadi Mbagala (kilomita 19) jijini Dar es Salaam. ย Kampuni hiyo pia itajenga vituo vitano vya CNG kwa ajili ya kujaza gesi kwenye magari na viwanda […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 7, 2025
61 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA WITO umetolewa kwa wanawake nchini katika kusherekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani,kujenga mazoea ya kutembelea hifadhi mbalimbali zilizopo nchini kwa lengo la kujifunza na kujijengea uzoefu wa kuangalia vivutio mbalimbali. Wito huo umetolewa jana jijini Dar es Salaam na Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi Zone ya Dar es Salaam kutoka Shirika […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 7, 2025
73 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) yaonesha tafiti ya gesi ASILIA imetumika Kwa Kiasi kikubwa Katika usafirishajiย  na usafiri Hayo yameelezwa na Afisa Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano kutoka Ewura, Wilfred Mwakalosi wakati akiwasilisha ripoti ya utafiti waliofanya katika Kongamano la 11 na Maonesho […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...