FEATURE
on Oct 10, 2024
164 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu Wanaoishi na VVU wajiunga Bima ya Afya (NHIF) kupitia miradi ya TARURA Ludewa,Njombe Vikundi vya Kijamii vinavyofanya kazi za ujenzi na matengenezo madogo madogo ya miundombinu ya barabara wilayani Ludewa wameishukuru Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kuwapatia kazi ambazo zimeweza kuwainua kiuchumi. Wakiongea wakati wa ziara ya Ujumbe […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 10, 2024
148 views 59 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Jana oktoba 9,2024 Umoja wa Shirikisho la Wamachinga Tanzania SHIUMA umezindua mpango kazi (Operesheni ) ya kampeni ya “Mama Tuvushe 2025 “ Wamezindua mpango kazi huo (Operesheni )utakaofanyakazi nchi nzima kuzunguka kutokana na maadhimio ya kampeni hiyo,Yote hayo yamejiri wakati wa kikao chao walichokifanya leo mkoani Iringa mbele ya Wamachinga waliojitokeza […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 10, 2024
119 views 37 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DAR ES SALAAM USHIRIKIANO  kati ya Taasisi ya Adani Foundation na IITM Zanzibar kwa pamoja wamekubaliana  katika kuboresha elimu ya juu nchini katika kuunda fursa kwa vijana, hasa wale wanaotoka katika familia zenye hali duni. Kwa kuanzisha programu wezeshi  ya Sayansi ya Takwimu, Akili Bandia na Miundo ya Baharini, huu ni […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 9, 2024
178 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. Philip Mpango ameweka jiwe la msingi mradi wa ujenzi na upanuzi wa Kiwanja cha ndege Tabora na kuipongeza Wizara ya Ujenzi wa kazi wanayoifanya katika mradi huo. Akizungumza leo tarehe 9 Octoba 2024 mara baada ya kukagua na kuweka jiwe […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 9, 2024
132 views 3 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Waziri wa habari mawasiliano na Teknolojia ya habari Mhe Jerry Silaa amefungua kikao kazi Cha siku tatu ambacho kimejikita kufanya mapitio Katika maeneo 11 ambayo nchi za Afrika zilijiwekea awali Katika mkutano wa Dunia wa jumuiya ya habari WSIS MHE waziri amefungua kikao hicho Leo Tarehe 09 Oktoba […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 9, 2024
206 views 15 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt.Pindi Chana (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania,  Mhe. Chen Mingjian kuhusu kushirikiana katika maeneo mbalimbali ya Sekta ya Maliasili na Utalii hususan kuwekeza kwenye maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya uwekezaji. Kikao hicho kimefanyika leo Oktoba 9, 2024 Mkoani […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 9, 2024
169 views 7 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Serikali Yawapongeza Wanaradiografia kwa Mchango wao kwa Jamii Uwekezaji katika Sekta ya Afya Waokoa Fedha Tanzania Nchi ya Nne Afrika kuwa na PET SCAN Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali imeendelea kuwekeza kwenye miundombinu ya vifaa vya uchunguzi na vifaa tiba katika kuboresha […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 9, 2024
177 views 54 secs

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewasili na kupokelewa rasmi Mkoa wa Shinyanga, leo tarehe 9 Oktoba 2024, tayari kuanza ziara ya siku tatu katika maeneo mbalimbali ya wilaya za  mkoa huo. Balozi Nchimbi ambaye ameambatana na Katibu wa NEC – Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 9, 2024
179 views 7 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama ikiwemo jeshi la polisi, jeshi la akiba pamoja na wananchi imefanya operesheni kubwa ya kihistoria kwa muda wa wiki tatu katika wilaya ya Tarime na Serengeti, mkoani Mara kwa lengo la kukabiliana na tatizo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 9, 2024
333 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA REA kusambaza mitungi ya gesi 3,225 Gairo, yaendelea kugawa majiko banifu kwa wananchi Na MWANDISHI WETU -GAIRO RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ruzuku ya bei kwenye mitungi ya gesi inayotolewa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ili Watanzania watumie nishati safi na salama kwa afya zao pamoja na kuhifadhi mazingira […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...