FEATURE
on Sep 6, 2024
169 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu, Mhandisi Rogatius Mativila  amesema kuwa ili kufikia ujenzi wa kilomita 144,430 ya barabara ya ‘network’ ambayo iko chini ya TARURA wamekuwa wakihangaika na teknolojia mbalimbali ili angalau watumie fedha kidogo ziweze kujenga sehemu kubwa iwe inapitika. Mativila ameyasema hayo leo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 5, 2024
270 views 25 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amehudhuria Mkutano wa 16 Kikao cha 8 cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Septemba 5, 2024 jijini Dodoma. Shughuli za bunge  leo zilikuwa ni pamoja uchaguziwa mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Dkt. Gladness Salema.

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 5, 2024
187 views 30 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA WAZIRI CHANA ATETA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe kutoka Benki ya Dunia ukiongozwa na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Bw. Nathan Belete katika Ofisi za Wizara ya Maliasili na Utalii, jijini Dodoma […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 4, 2024
267 views 5 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA TANAPA yaanza na mkakati wa kuboresha barabara zilizopo WADAU wa Utalii katika Hifadhi ya Taifa Serengeti wameiomba Serikali kupatia suluhisho la kudumu la ujenzi wa barabara katika Hifadhi za Taifa hususani barabara ya Serengeti Akizungumza leo na waandishi wa habari ambao wametembelea eneo hilo, ambapo Mkurugenzi wa Kampuni ya Utalii ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 4, 2024
311 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Afanya mazungumzo na Makamu wa Rais, Namibia, Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah* Nishati safi yapigiwa chapuo kimataifa kwa maendeleo na ustawi wa jamii* Namibia hasisitiza ushirikishaji wa vijana kuwezesha matumizi ya Hydrogen* Nchi washiriki wahimizwa kushirikiana badala ya kushindana* *Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati* Naibu Waziri Mkuu na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 4, 2024
183 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA WAZIRI MKUU  Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kujiimarisha kidiplomasia na itaongeza nguvu zaidi ili kuwawezesha Watanzania wengi kupata fursa mbalimbali katika jumuia za kimataifa. Amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanikisha kuimarisha ushirikiano baina ya nchi washirika na sasa mafanikio yanaonekana. “Rais wetu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 2, 2024
407 views 2 mins

Na.Joyce Ndunguru, Morogoro. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii anaeshughulikia Maliasili, Kamishna wa Polisi Benedict Wakulyamba asisitiza matumizi ya sheria na kanuni katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za uhifadhi. Kamishna Wakulyamba ameyasema hayoleo Septemba 1, 2024 wakati wa ziara ya kikazi aliyoifanya katika ofisi za Makao Makuu ya TAWA yaliyopo Mkoani Morogoro kwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 2, 2024
462 views 3 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Serikali Kupitia wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA imefanikiwa kuongeza mtandao wa Barabara za Wilaya kutoka kilomita 108,946,19 Hadi kilomita 144,429,77 Mtendaji mkuu wa TARURA Mhandisi Victor Seff Ameyasema hayo Leo September 2,2024 jijini Dar es salaam Katika kikao kazi Cha wahariri na waandishi wa habari […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 2, 2024
248 views 21 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa amesema kuanzia sasa hataki kusikia changamoto zinazohusiana na Usafiri wa Mabasi yaendayo kasi zikiwemo changamoto za abiria kukaa muda mrefu katika vituo wakisubiri usafiri ambapo amemuagiza mtendaji mkuu wa DART kushirikiana na UDART kuhakikisha mabasi mapya ya mwendo kasi yanafika […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 1, 2024
485 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Miaka 60 ya kuanzishwa kwa Hifadhi ya Taifa Mikumi imeleta mafanikio makubwa katika Sekta ya Utalii nchini yakichangiwa na jitihada zinazofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hayo yamesemwa  leo Agosti 31,2024 na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...