FEATURE
on Jul 17, 2024
252 views 5 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA,) inamshikilia Shaban Musa Adam (54,) mkazi wa Dar es Salaam kwa tuhuma za kutengeneza dawa za kulevya ambapo pia amekamatwa naย  kemikali bashirifu na dawa tiba zenye asili ya kulevya takribani lita 16,523 ambazo zimekwisha muda wa matumizi. Akizungumza na waandishi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 16, 2024
170 views 2 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA -Atoa rai kwa wakazi wa Dar es salaam na watanzania kujitokeza kwa wingi kupatiwa matibabu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Julai 16,2024 amepokea Melivita ya matibabu iitwayo Peace Ark ya Jeshi la ukombozi la watu wa China katika Bandari ya Dar es Salaam. RC Chalamila […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 16, 2024
211 views 12 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 15, 2024 amekagua na kuzindua mitambo na vifaa vipya vya kurushia matangazo vya kampuni ya Azam Media Limited. Vifaa hivyo ni pamoja na Magari ya kisasa ya kurushia matangazo (OB Van), kamera za kisasa pamoja na mfumo wa kusaidia maamuzi viwanjani (VAR). Vifaa hivyo vilivyogharimu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 15, 2024
425 views 22 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kufanya filamu nyingine ya Royal Tour katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi baada ya kujionea wanyamapori mbalimbali katika Hifadhi hiyo. Dkt. Samia ameyasema hayo leo Julai 15, 2024 alipokuwa akizungumza na wananchi  katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 14, 2024
432 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA KUTOKANA NA Sera nzuri za Uwekezaji zilizowekwa na Serikali ya Awamu ya Sita, Mkoa wa Mtwara umepata mwekezaji mpya wa uchimbaji wa gesi asilia atakayezalisha futi za ujazo milioni 100 kwa siku. Hayo yamebainishwaย  Julai 11, 2024 na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 14, 2024
203 views 54 secs

Na Beatus Maganja Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Nchini – TAWA Mej. Jen. (Mstaafu) Hamis Semfuko amewahimiza watanzania kuchangamkia fursa za ufugaji wa wanyamapori zinazopatikana katika Taasisi ya TAWA. Ameyasema hayo leo Julai 13, 2024 alipotembelea banda la Wizara ya Maliasili na Utalii Katika Maonesho ya 48 ya biashara […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 12, 2024
289 views 15 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mamlaka ya Dawa na vifaa tiba TMDA imewataka watanzania kuacha kutumia dawa kiholela bila kufuata maelekezo na ushauri wa wataalamu badala yake amesisitiza matumizi sahihi ya dawa Ili kupunguza tatizo la usugu wa maradhi. Hayo Ameyasema Leo 9 julai 2024 mkurugenzi mkuu wa TMDA Adam Fimbo Amesema Katika […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 12, 2024
376 views 40 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 12, 2024
447 views 2 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Naibu waziri wizara ya Uchukuzi David Kihenzile ameeleza kuridhishwa kwake na kasi ya ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Msalato mkoani Dodoma ambao umefikia asilimia 67.6 kwa upande wa miundombinu ya njia ya kurukia ndege huku ukiwa umefikia asilimia 32.21 kwa upande wa jengo la abiria. Naibu Waziri Kihenzile […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...