FEATURE
on May 22, 2024
310 views 34 secs

Na Mwandishi wetu DODOMA WAMACHINGA Wakurugenzi, Wakuu wa Idara watakiwa kusimamia vema mfumo wa PEPMIS* Dodoma Watendaji wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake leo 22 Mei,2024 wamepata mafunzo ya upimaji utendaji kazi  kutoka kwa Wataalam wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma ili kuboresha utendaji kazi kupitia mfumo wa PEPMIS na PIPMIS. […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 22, 2024
202 views 4 mins

Na Mwandishi wetu ARUSHA WAMACHINGA -_Kampuni za Watanzania za Kutoa Huduma na Kusambaza bidhaa zaongezeka_ -_Ajira rasmi 18,853 kwa Watanzania_ -_Chini ya uongozi wa Mh Rais Samia Watanzania wapata nafasi za juu za kuongoza Kampuni kubwa  za Madini Tanzania_ Mabadiliko ya Sheria ya Madini ya mwaka 2010 yametoa fursa ya  kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 22, 2024
248 views 25 secs

Na Mwandishi wetu Wamachinga Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mkoani Dar es salaam, Edward Mpogolo, amefungua mashindano ya Umoja wa Shule za Sekondari-UMISSETA Wilaya ya llala Mashindano hayo yameshirikisha wanafunzi kutoka Majimbo ya Ilala, Segerea na Ukonga kwa ajili kuunda timu ya Wilaya Ilala. Watakaochaguliwa wataunda timu ya kanda itakayokwenda ngazi ya Mkoa wa Dar […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 21, 2024
292 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka mamlaka zinazohusika na usimamizi wa sekta ya habari ziendelee kusimamia vyombo vya habari vizingatie maadili na kujiepusha na uchapishaji wa taarifa na picha zinazochochea uvunjaji wa maadili, mila na desturi za Kitanzania. Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa habari […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 20, 2024
292 views 3 mins

Na Madina Mohammed IRINGA WAMACHINGA Mamlaka ya dawa na Vifaa Tiba TMDA tangu kuanzishwa kwake Takribani Miaka 21 Sasa,imekuwa ikishirikisha wananchi na wadau Katika Shughuli za udhibiti wa ubora,usalama na ufanisi wa dawa,vifaa na vitendanishi nchini Ili kulinda Afya ya jamii Hayo ameyasema Leo Tarehe 16 Mei 2024 Katika kikao kazi Cha wahariri wa habari […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 20, 2024
258 views 5 mins

Na John Mapepele. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango ametoa maelekezo kumi yatasaidia kuimarisha sekta ya nyuki ili iweze kuchangia mapato ya Serikali na kwenye uchumi wa taifa kwa ujumla. Mhe. Mpango ametoa  maelekezo hayo leo Mei 20,2024 kwa wadau mbalimbali wa sekta hiyo   kwenye kilele cha […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 20, 2024
318 views 2 mins

Tanzania na China zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraja kwa kuyawezesha Makampuni ya Tanzania kupewa sehemu ya kazi za ujenzi kutoka kwa Makampuni ya Kichina yatakayopewa kazi ya kutekeleza miradi ya ujenzi nchini. Makubaliano hayo yamefikiwa leo Mei 20, 2024 jijini Dar es Salaam wakati […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 20, 2024
250 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia COSTECH Dr AMOS NUNGU amesema Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi ya kukuza bunifu za kisayansi na teknolojia kwa vijana hivyo kuwahimiza vijana kuendelea kuwasilisha bunifu zao ili ziendelezwe na kuleta tija kwa taifa Akizungumza hii leo Jijini Dar […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
FEATURE
on May 18, 2024
208 views 35 secs

Na Madina Mohammed IRINGA WAMACHINGA Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Nchini (TMDA) kwa mara ya tatu leo imetoka tuzo kwa Waandishi wa habari bora wa Uandishi wa habari za dawa, vifaa tiba, vitendanishi na bidhaa za tumbaku. Akizungumza wakati wa hafla ya utoaji wa tuzo hizo ambazo pia ziliambatana na Kikao kazi Cha Wahariri […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...