TAWA YAIDHIBITI NCAA SHIMMUTA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA TANGA Yaibuka Mshindi wa 3 Mchezo wa Kuvuta Kamba (Me) Timu ya wavuta kamba (Me) ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) leo Novemba 23, 2024 imeibuka mshindi wa 3 katika mchezo wa Kuvuta Kamba baada ya kuishinda timu shindani ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) katika mashindano ya […]