Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 33)
FEATURE
on Jan 23, 2025
92 views 3 mins

Na Lusungu Helela – SINGIDA        Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene amemshukia aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)  Mhe. Freeman Mbowe kuhusiana na  hoja yake aliyoitoa ya kubeza juhudi ya Serikali ya kutaka kuondoa umaskini wa watu kupitia Mfuko wa Maendeleo ya […]

FEATURE
on Jan 23, 2025
101 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu MoHA-Dodoma Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Jeshi la Polisi litaendelea kutekeleza jukumu lake la kikatiba kwa kusimamia usalama katika mikutano na shughuli za Vyama vya Siasa bila kujali itikadi ya Chama cha Siasa chochote. Amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kusimamia ulinzi na usalama kwa Vyama vyote […]

FEATURE
on Jan 23, 2025
121 views 2 mins

📍 Mataifa mbalimbali yafurika Hifadhi ya Urithi wa Dunia Kilwa Kisiwani Na Beatus Maganja, Kilwa. Kazi kubwa ya kutangaza vivutio vya utalii vya nchi yetu duniani iliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kudhihirika na kishindo chake kutikisa katika Hifadhi ya Urithi wa Utamaduni wa Dunia ya […]

FEATURE
on Jan 22, 2025
94 views 2 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

FEATURE
on Jan 22, 2025
117 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kupitishwa kwa *Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote* kutaongeza mchango wa sekta ya bima katika kuwezesha upatikanaji wa huduma bora za matibabu kupitia mfumo wa bima ya afya. Hayo yalibainishwa wakati Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama, alipozindua rasmi Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya […]

FEATURE
on Jan 22, 2025
110 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ASKOFU Msaidizi wa Jimbo kuu la Dar es Salaam Mhashamu Stephano Musomba ametoa wito kwa jamii kujitokeza kwa wingi na kuhakikisha wanajiandikisha kushiriki Pugu Marathon 2025 itakayofanyika Mei 31, mwaka huu katika viwanja vya Hija Pugu Jimbo kuu la Dar es Salaam. Mhashamu Musomba ametoa wito huo wakati akizungumzia na waandishi […]

FEATURE
on Jan 21, 2025
179 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Kampuni ya Azam Media Limited imesaini mkataba wa makubaliano na Trace Group inayondaa tuzo za Trace kwa ajili ya urushaji matangazo ya usiku wa tuzo hizo Februari 26, 2025. Mkataba huo umesainiwa na Afisa Mwendeshaji Mkuu wa Azam Media Limited, divisheni ya Maudhui na Utangazaji @yahyamohamedtz pamoja na […]

FEATURE
on Jan 21, 2025
120 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA • *_Waziri Mavunde asisitiza lengo la trilioni 1 kufikiwa_* • *_STAMICO yapiga hatua kubwa kuelekea malengo yake_* • *_Asilimia 18 ya nchi kufanyiwa utafiti wa kina mwaka hivi karibu_* 📍  *Dodoma* Wizara ya Madini imefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 521 katika kipindi cha Julai 1, 2024, hadi Desemba 31, 2024. Hii ni […]

FEATURE
on Jan 21, 2025
109 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) kwa kushirikiana na kampuni za mbolea za ETG na Itracom zimefanikiwa kusambaza tani nne za mbolea kwa ajili ya kutoa elimu kwa vitendo kupitia mashamba ya mfano yaliyoanzishwa katika Halmashauri zote za mikoa ya Lindi na Mtwara. Elimu hiyo inalenga kuwahamasisha wakulima kutumia mbolea […]

FEATURE
on Jan 21, 2025
119 views 3 mins

📌Azindua dira ya miaka 50 ya CBE (2025 – 2075) 📌Asisitiza matumizi ya teknolojia za kisasa, zinazojibu changamoto za jamii 📌Taasisi za elimu ya juu zatakiwa kuweka mkazo mafunzo ya ujasiriamali Vyuo na taasisi zinazotoa elimu ngazi ya Kati ikiwemo Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), zimetakiwa kuboresha mitaala yake ya masomo ili iendane na […]