AZAM MEDIA NA TRACE GROUP WAINGIA MAKUBALIANO KWA URUSHAJI MATANGAZO ZA TUZO ZA TRACE FEBRUARI 26
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Kampuni ya Azam Media Limited imesaini mkataba wa makubaliano na Trace Group inayondaa tuzo za Trace kwa ajili ya urushaji matangazo ya usiku wa tuzo hizo Februari 26, 2025. Mkataba huo umesainiwa na Afisa Mwendeshaji Mkuu wa Azam Media Limited, divisheni ya Maudhui na Utangazaji @yahyamohamedtz pamoja na […]