KITAIFA
April 16, 2025
37 views 1 sec 0

WASIRA AKUTANA NA KADINALI
PROTASE RUGAMBWA TABORA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amekutana na kufanya mazungumzo na Muadhama Kadinali Protase Rugambwa katika Jimbo Kuu Katoliki la Tabora. Wasira amekutana na Kadinali Rugambwa leo Aprili 16, 2025 katika Jimbo Kuu Katoliki Tabora akiwa katika ziara ya kukagua uhai wa Chama na utekelezaji wa […]

KITAIFA
March 30, 2025
82 views 2 mins 0

WASIRA AMJIBU ZITTO KABWE KUHUSU VIKAO VYA CHADEMA

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu Kiongozi Mstaafu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe kuwa CCM haibishani na CHADEMA kwa kuwa iliwaambia wazungumze wakajibu hawako tayari kupotezewa muda. Pia, Wasira ametumia nafasi hiyo kuwaambia CHADEMA wajitokeze hadharani wawaambie wanataka nini na kama wanashindwa kuiambia CCM basi waiambie Tume. Akizungumza […]

KITAIFA
March 01, 2025
82 views 4 mins 0

CCM:Jussa katafute jingine la Bandari limekwisha

Na Mwandishi  Wetu, Zanzibar Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema mchakato  wa uwekezaji katika Bandari  ya Malindi kisiwani Unguja umezingatia na kufuata  vigezo ,sifa na taratibu  za kisheria hadi  kupatikana  Kampuni ya Africa Global Logistic  (AGL) Pia CCM kimesisitiza hili la Bandari  limekwisha  hivyo kimemtaka  Makamu  Mwenyekiti  wa ACT  Wazalendo ,  Ismail Jussa Ladhu,  akatafute jengine […]

KITAIFA
February 26, 2025
88 views 3 mins 0

CCM YAKIONYA CHAMA CHA ACT WAZALENDO KUTOCHOCHEA FUJO ZANZIBAR

Na Mwandishi Maalum Zanzibar Chama Cha Mapinduzi (CCM )kimekitaka ACT  Wazalendo  kuacha kueneza upotoshaji na kudai kuwa  Uandikishaji wapiga kura  Mikoa wa Kaskazini ” A” na ‘B’  kuna baadhi ya wananchi hawakuandikishwa. CCM kimekanusha na kusema  wananchi wote  waliokidhi vigezo kwa vya sheria ya Ukaazi  na majina yao yamo kwenye Daftari la Sheha wa shehia, […]

KITAIFA
February 25, 2025
81 views 2 mins 0

NAIBU WAZIRI SANGU : RAIS SAMIA AMEFANYA MAMBO MAKUBWA JIMBO LA KWELA

Na Mwandishi Wetu- Sumbawanga  Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kwela  amewataka  wanachama wa  Chama cha Mapinduzi katika Jimbo la Kwela  Wilaya ya Sumbawanga Mkoani Rukwa  kuwa  mstari wa mbele kukisemea Chama  hasa kutambua mambo makubwa yaliyofanywa na […]

KITAIFA
February 10, 2025
94 views 35 secs 0

WASIRA :CCM TUTASHIKA DOLA KWA KURA ,SI BUNDUKI.

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Tanzania Bara Stephen Wasira amesema katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu Chama kitaendelea kushika dola kwa wingi wa kura na si mtutu wa bunduki. Pia, amesema CCM imebeba maono na fikra za ukombozi na kwamba itaendelea kuwa wakili wa kuwatetea Watanzania. Wasira aliyasema hayo leo Februari 10, 2025 alipokuwa […]

KITAIFA
January 31, 2025
117 views 18 secs 0

WASIRA: CHADEMA MSIJE NA AZIMIO LINALOKIUKA SHERIA ZA NCHI YETU.

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema Chama na serikali yake haitakubaliana na azimio lolote litakalotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) baada ya kukutana kwa faragha kama walivyotangaza viongozi wa chama hicho, juzi. Amesema amesikia chama hicho kikitangaza kwamba kinakwenda kujifungia kisha kije na […]

KITAIFA
January 27, 2025
98 views 3 mins 0

WAZIRI MKUU ASISITIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI KWA WATANZANIA WOTE

▪️Awataka Wana-CCM kujiandaa na Uchaguzi Mkuu▪️Asema Wana-CCM wanaowajibu wa kueleza kwa watanzania utekelezaji wa Ilani WAZIRI MKUU, amewasisitiza Watanzania wote kushirikiana na Serikali kuweka mkazo kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa kubadili utaratibu za kupika chakula ili kuachana na matumizi ya kuni na mkaa. “Mwenyekiti wetu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mheshimiwa […]

KITAIFA
January 21, 2025
109 views 7 mins 0

SAMIA, NCHIMBI HESABU KALI CCM

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DODOMA CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kipi kwenye hesabu kali hasa baada ya kukamilisha uteuzi wa wagombea wake wa urais kwa upande wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (CCM) Hatua hiyo ya kufanya uteuzi wa wagombea wake mapema unakwenda kuakisi kwamba chama hicho tawala nchini, kimedhamiria kushinda […]

KITAIFA
January 20, 2025
95 views 6 mins 0

SAMIA TENA

Na MWANDISHI WETU -DODOMA NI Samia tena urais 2025-2030. Ndivyo unavyoweza kusema hasa baada wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi kumpitisha kuwa mgombea wa urais wa chama hicho tawala. Hatua hiyo ya kufikia uamuzi wa kutaka kuwapitisha kuwa wagombea wa urais kwa upande wa Bara na Zanzibar kama njia muhimu ya […]