BIASHARA
November 22, 2024
249 views 2 mins 0

CHUO CHA KODI IMEOMBWA KUFANYA MAFUNZO YA KODI NA FORODHA ILI  KUONGEZA MAKUSANYO YA KODI KITAIFA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Serikali kupitia Wizara ya Fedha imesema  inatambua mchango wa chuo cha kodi kwenye kutoa mafunzo ya kodi na forodha hivyo kuongeza makusanyo ya kodi kwenye Taifa. Hayo ameyasema  leo  jijini dar es salaam Naibu  Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Elijah Mwandumbya akimwakilisha Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kwenye Mahafali ya kumi […]