KITAIFA
December 07, 2024
149 views 2 mins 0

WATUMISHI REA WATAKIWA KUFANYA KAZI KUENDANA NA KASI YA SERIKALI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asisitiza kuongeza ubunifu na kuzingatia maadili ya utumishi wa umma Awataka kujiepusha na vitendo vya uvunjifu wa maadili Wizara ya Nishati yaipongeza REA kwa utekelezaji wa miradi Watumishi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wametakiwa  kufanya kazi kwa uadilifu, ubunifu, juhudi, maarifa na upendo ili kuendana na kasi ya Serikali ya […]

KITAIFA
November 22, 2024
114 views 59 secs 0

REA YAWAHAKIKISHIA UPATIKANAJI WA MITUNGI YA GESI YA KILO SITA NCHI NZIMA

Na Mwandishi Wetu Mitungi ya gesi zaidi ya 13,000 kusambazwa Songwe Kila wilaya kupatiwa mitungi ya gesi 3,255 Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeingia mkataba na mtoa huduma kampuni ya Oryx Gas Tanzania Limited ambaye atahudumia wilaya zilizopo ndani ya Mkoa wa Songwe kwa kuuza kwa bei ya ruzuku mitungi ya gesi ya kilo sita […]

KITAIFA
November 19, 2024
121 views 48 secs 0

REA KUSHIRIKIANA NA NJOMBE KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI ZAIDI YA 13,000

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kila wilaya kusambaziwa mitungi ya gesi 3,255 Elimu ya nishati safi kuendelea kutolewa 📍Njombe Mkoa wa Njombe umeahidi kushirikiana na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika kusambaza mitungi ya gesi ya kupikia13,020 ili wananchi watumie nishati safi na salama. Hayo yamezungumzwa leo Novemba 19, 2024 na Kaimu Katibu Tawala,  Mha. Joseph […]

KITAIFA
November 19, 2024
127 views 2 mins 0

RC SERUKAMBA AIUNGA MKONO REA UGAWAJI MITUNGI YA GESI 9800 IRINGA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA REA yahamasisha ujenzi wa vituo vidogo vya mafuta maeneo ya vijijini Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Peter Serukamba ameunga mkono juhudi za Wakala wa Nishati Vijijini (REA) za kusambaza mitungi ya gesi ya kupikia ipatayo 9,800 mkoani humo itakayoendelea kuhamasisha na kuchochea matumizi ya nishati safi ya kupikia. Mhe. Serukamba […]

KITAIFA
November 07, 2024
146 views 4 mins 0

BILIONI 11 KUSAMBAZA UMEME KWENYE VITONGOJI SHINYANGA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kunufaisha kaya 2,970 kutoka kwenye vitongoji 90 ndaniya wilaya tatu, RC Macha asema umeme ni kipaumbele cha Rais Samia -SHINYANGA SERIKALI kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi wa Shilingi bilioni 11.18 wa kusambaza umeme katika vitongoji 90 utakaonufaisha kaya 2,970 mkoani Shinyanga. Hayo yalisemwa jana na Msimamizi wa Miradi […]

KITAIFA
November 02, 2024
121 views 2 mins 0

RAIS SAMIA AZIWEZESHA SEKTA BINAFSI KITEKELEZA MIRADI YA UMEME

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Shilingi bilioni 2 zimetolewa na REA kuendeleza mradi Utunzaji wa mazingira umepewa kipaumbele kwenye utekelezaji wa miradi Makete – Njombe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameipa kipaumbele sekta binafsi kutekeleza miradi ya nishati ya umeme kwa kuwekeza katika sekta hiyo na kuwezesha fedha ili […]

KITAIFA
October 29, 2024
107 views 22 secs 0

DKT BITEKO AIPONGEZA REA UTEKELEZAJI MIRADI YA NISHATI

Na Mwandishi Wetu Ni ya upelekaji umeme kwenye vijiji, vitongoji na Nishati Jadidifu* Yawa kinara matokeo ya tathmini ya utendaji kazi kwa Taasisi za Wizara ya Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameupongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kufanya vizuri katika utekelezaji wa majukumu yake ikiwemo usambazaji umeme […]

KITAIFA
October 24, 2024
114 views 2 mins 0

WANANCHI WAHAMASISHWA KUCHANGAMKIA FURSA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA NI YA UJENZI NA UENDESHAJI WA VITUO VIDOGO VYA BIDHAA ZA MAFUTA VIJIJINI* MKOPO WA HADI SHILINGI MILIONI 133 KUTOLEWA* Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inahamasisha wananchi kuchangamkia fursa ya mikopo kwa ajili ya Kuwezesha ujenzi na Uendeshaji wa vituo vidogo vya bidhaa za mafuta ya Petroli na Dizeli […]

KITAIFA
October 23, 2024
118 views 2 mins 0

DKT MPANGO ATEMBELEA BANDA LA REA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA AELEKEZA UTOAJI RUZUKU KWENYE MAJIKO YA UMEME Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango amepongeza jitihada za Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika kuhakikisha wananchi wanafikishiwa Nishati Safi ya Kupikia. Ametoa pongezi hizo Oktoba 23, 2024 Jijini Dar es Salaam alipotembelea Banda la REA […]

KITAIFA
October 23, 2024
111 views 3 mins 0

GEITA YAUPOKEA MRADI WA BILIONI 17 KWA AJILI YA KISAMBAZA UMEME KWENYE VITONGOJI 105

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wateja 3,465 watanufaika na Mradi huo Mkuu wa mkoa wa Geita, Mhe. Martine Shigela, leo jioni, tarehe 22 Oktoba, 2024 amempokea rasmi, mkandarasi, kampuni ya CCC (Beijing) Industrial and Commercial Ltd; kampuni kutoka China, iliyoshinda kandarasi ya Mradi wa Kusambaza Umeme kwenye vitongoji 105 vya majimbo saba (7) ya mkoa wa […]