KITAIFA
December 10, 2024
144 views 2 mins 0

TUENDELEE KUTUMIA TEKNOLOJIA KATIKA SHUGHULI ZA UHIFADHI – Dkt. Abbasi

Na. Joyce Ndunguru, Morogoro Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi ameelekeza kuendelea kwa matumizi ya teknolojia mbalimbali katika ulinzi wa rasilimali ya wanyamapori. Dkt. Abbasi ameyasema hayo leo Disemba 10, 2024, katika kikao na watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA) kilichofanyika katika Makao Makuu ya TAWA Mkoani Morogoro. […]

KITAIFA
November 25, 2024
146 views 5 mins 0

MAKUYUNI WILDLIFE PARK KUFUNGUA NJIA YA MAFURIKO YA WATALII

Bodi ya TAWA yaridhishwa na uboreshaji wa miundombinu ya utalii* Na Beatus Maganja, Arusha. MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imeanza rasmi utekelezaji wa mikakati ya kuiendeleza na kuiandaa  Hifadhi ya Makuyuni Wildlife Park iliyopo Mkoani Arusha Kwa ajili ya kupokea wageni wengi zaidi kwa kuongeza mindombinu ya utalii hususani barabara, ujenzi wa mabwawa […]

MICHEZO
November 24, 2024
138 views 2 mins 0

TAWA YAIDHIBITI NCAA SHIMMUTA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA TANGA Yaibuka Mshindi wa 3 Mchezo wa Kuvuta Kamba (Me) Timu ya wavuta kamba (Me) ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) leo Novemba 23, 2024 imeibuka mshindi wa 3 katika mchezo wa Kuvuta Kamba baada ya kuishinda timu shindani ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) katika mashindano ya […]

KITAIFA
October 25, 2024
133 views 3 mins 0

TAWA YAWASILISHA TAARIFA YA UTENDAJI WAKE KWA KAMATI YA BUNGE

Na Beatus Maganja WAMACHINGA Yapewa kongole Kwa Kasi ya ukusanyaji maduhuli, Utatuzi wa migogoro ya mipaka Dodoma Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA leo Oktoba 24, 2024 katika ukumbi  namba 44 jengo dogo la utawala bungeni Dodoma imewasilisha taarifa ya utendaji wake ya mwaka 2023/24 kwa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, […]

KITAIFA
October 16, 2024
194 views 33 secs 0

RAIS SAMIA ANATAKA TUONGEZE MAPATO YA UTALII-WAZIRI CHANA

Na Happiness Shayo ARUSHA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) ameielekeza menejimenti ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kubuni mikakati ya kuongeza mapato yatokanayo na Utalii ikiwa ni maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Ametoa kauli hiyo leo Oktoba 16,2024 alipokuwa akizungumza […]

KITAIFA
October 12, 2024
200 views 54 secs 0

TAWA YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA “SITE”

Utalii wa malikale wanadiwa Na. Joyce Ndunguru, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa   Wanyamapori Tanzania (TAWA) inashiriki maonesho ya Nane ya Kimataifa ya Swahili International Tourism Expo (SITE) yaliyozinduliwa Leo Oktoba 11, 2024 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi katika Ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa […]

KITAIFA
October 06, 2024
285 views 3 mins 0

ZAIDI YA TZS MILIONI 50 ZAMTUA MAMA NDOO KICHWANI

Na Beatus Maganja Mradi wa maji safi wenye thamani ya zaidi ya shilingi millioni 50 uliofadhiliwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Nchini – TAWA  Katika Kijiji cha Nkonko kilichopo Kata ya Nkonko wilayani Manyoni mkoa wa Singida unatajwa kuondoa adha ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama kwa wakazi wa Kijiji hicho […]

KITAIFA
October 05, 2024
188 views 2 mins 0

TAWA YAMDHIBITI MAMBA ALIYEZUA TAHARUKI BUCHOSA

Kijiji cha Kahunda charindima Kwa nderemo na vifijo* Na. Beatus Maganja Maofisa wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Nchini – TAWA kwa kushirikiana na wananchi wa Kijiji cha Kahunda kilichopo Kata ya Katwe Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema na mkoa wa Mwanza wamefanikiwa kumdhibiti mamba aliyezua taharuki takribani wiki nzima Kijijini humo kabla ya kuleta […]

KITAIFA
September 02, 2024
399 views 2 mins 0

KAMISHNA WAKULYAMBA ASISITIZA MATUMIZI YA SHERIA NA KANUNI KATIKA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA UHIFADHI

Na.Joyce Ndunguru, Morogoro. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii anaeshughulikia Maliasili, Kamishna wa Polisi Benedict Wakulyamba asisitiza matumizi ya sheria na kanuni katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za uhifadhi. Kamishna Wakulyamba ameyasema hayoleo Septemba 1, 2024 wakati wa ziara ya kikazi aliyoifanya katika ofisi za Makao Makuu ya TAWA yaliyopo Mkoani Morogoro kwa […]