KITAIFA
June 08, 2024
233 views 2 mins 0

RAIS SAMIA AWEKA MAZINGIRA BORA YA UWEKEZAJI SEKTA YA UTALII-WAZIRI KAIRUKI

Na Happiness Shayo Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hasan imeendelea kuweka mazingira bora kwa wafanyabiashara na wawekezaji Sekta ya Utalii ili kuwarahisishia ufanyaji biashara na kuendelea kuikuza Sekta hiyo. Hayo yamesemwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angelllah Kairuki mara baada […]

KITAIFA
June 01, 2024
232 views 2 mins 0

WABUNGE WA CONGRESS WAIMWAGIA SIFA TANZANIA JUHUDI ZA UHIFADHI

Na Happiness Shayo Wawakilishi 11 wa Bunge la Wawakilishi-Congress kutoka nchini Marekani wameridhishwa na juhudi za uhifadhi zinazofanywa na  Serikali ya Tanzania huku wakisifia namna ambavyo hifadhi za Taifa zimesheheni wanyamapori. Hayo yamesemwa katika kikao kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) na Wabunge hao kilichofanyika katika Uwanja wa Ndege wa […]

KITAIFA
May 31, 2024
204 views 2 mins 0

SWICA YAINGIZA SERIKALI DOLA ZA MAREKANI 2,773,000

Na Beatus Maganja BUNGENI DODOMA Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Angellah Jasmin Kairuki (Mb) amesema katika kuongeza mapato yatokanayo na shughuli za utalii, Wizara yake imefanikiwa kuanza utekelezaji wa Uwekezaji Mahiri kwenye Maeneo ya Wanyamapori (Special Wildlife Investment Concession Areas – SWICA) ambapo jumla ya Dola za Marekani 2,773,000 sawa na Shillingi bilioni 7.1 […]

KITAIFA
May 31, 2024
589 views 4 mins 0

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAOMBA KUIDHINISHIWA BAJETI YA SHILINGI 348,125,419,000 KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

Na Madina Mohammed WAMACHINGA Wizara ya Maliasili na Utalii imeomba kuidhinishiwa Bajeti ya jumla ya Shilingi Bilioni 348,125,419,000 (bilioni mia tatu arobaini na nane milioni mia moja ishirini na tano laki nne na elfu kumi na tisa) kwa matumizi ya Mwaka wa Fedha 2024/2025. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amesema hayo […]

KITAIFA
May 30, 2024
437 views 3 mins 0

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAPONGEZWA KWA ONESHO MAALUM LA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII

Na Madina Mohammed WAMACHINGA Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa ubunifu  wa kuandaa Maonesho maalumu ya kutangaza vivutio vya utalii yenye lengo la kuelimisha wabunge kuhusu masuala ya uhifadhi wa maliasili na uendelezaji utalii yanayofanyika katika viwanja vya Bunge kuanzia leo Mei 30,2024. Akizungumza katika […]