RAIS SAMIA KUUFUNGA MKOA WA KIGOMA KIUCHUMI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asisitiza Mkoa wa Kigoma ufunguke kuwa Mwanzo wa Reli Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Biteko amesema Serikali inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuipatia Kigoma miradi ya maendeleo na fursa mbalimbali ili kuufungua mkoa huo kiuchumi. Akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya […]