KITAIFA
April 16, 2025
34 views 2 mins 0

TAMISEMI YAOMBA TRILIONI 11.78 BAJETI 2025/2026

OR-TAMISEMI OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)  imewasilisha bungeni makadirio ya mapato kwa mwaka 2025/26 yenye takribani Shilingi trilioni 11. 783 kwa ajili ya wizara na taasisi zilizo chini yake. Bajeti hiyo imeongezeka kutoka Shilingi trilioni 10.125  zilizotengwa mwaka 2024/25 hadi kufikia Shilingi trilioni 11.783 na kuwa na ongezeko la   […]

KITAIFA
December 19, 2024
149 views 2 mins 0

BILIONI 18 ZATUMIKA KUNUNULIA VIFAA VYA TEHAMA KWA AJILI YA ELIMU SEKONDARI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchemgerwa amesema Serikali kwa kutambua umuhimu wa matumizi ya TEHAMA katika ujifunzaji na kujenga umahiri uliokusudiwa kwenye Mitaala kwa wanafunzi wa Sekondari, katika kipindi cha mwaka 2023/2024, Serikali imetoa jumla ya Shilingi Bilioni 18 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya […]

KITAIFA
October 28, 2024
133 views 3 mins 0

MILIONI 31.282.331 WAJIANDIKISHA SERIKALI YA MITAA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mchengerwa aeleza ni idadi kubwa tofati na Uchaguzi wa mwaka 2019, awataka Watanzania kujitokeza kuhakiki majina Mkoa wa Pwani kinara uandikisha kwa asilimia 112.61 -DAR ES SALAAM WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Nchengerwa amesema wananchi waliojiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa […]

KITAIFA
October 21, 2024
285 views 2 mins 0

MCHENGERWA WATANZANIA MILIONI 31.2 KUPIGA KURA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2024

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Nchengerwa amesema wananchi waliojiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024 wamekuwa wengi zaidi kuliko wale wa uchaguzi uliopita uliofanyika mwaka 2019. Akizungumza na waandishi wa habari mkoani […]

KITAIFA
October 17, 2024
223 views 6 mins 0

MCHENGERWA DHAMIRA YA RAIS SAMIA KUIMARISHA MIUNDOMBINU

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asema Jiji la Mwanza kufumuliwa kila eneo na kulifanya lenye hadhi nchini Asema ametoa bilioni 24/- ujenzi wa barabara za lami katika jiji hilo na kuupongeza Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (TARURA) kwa usimamizi mzuri aonya wakandarasi waliopewa kazi ya ujenzi -MWANZA WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za […]

KITAIFA
October 16, 2024
198 views 5 mins 0

RAIS SAMIA KUFANYA UBORESHAJI MKUBWA KATIKA JIJI LA MWANZA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Seikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amesema kazi kubwa ya ujenzi wa miundimbinu ikiwemo ya barabara katika Jiji la Mwanza ni utekelezaji wa dhamira ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kufanya uboreshaji mkubwa katika jiji hilo Amesema Rais Samia Samia ametoa […]

KITAIFA
October 16, 2024
200 views 2 mins 0

MCHENGERWA AIBUKA HOJA YA VITUO BANDIA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asema hakuna vituo vya aina hiyo katika andikishaji wapiga kura, aweka wazi uandikishaji unafanyika kwenye vituo 80,812 nchini -MWANZA WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amesema taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu uwepo wa vituo bandia vya kuandikisha wapigakura wa Serikali za Mitaa […]

KITAIFA
September 27, 2024
188 views 54 secs 0

FEDHA NYINGI ZAWEZESHA MIRADI TEMEKE,RC CHALAMILA AMSHUKURU RAIS SAMIA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -Awataka viongozi ngazi za Mitaa na Kata kuunga mkono juhudi za Mhe Rais kwa kuisemea vizuri miradi hiyo. -Atoa Rai kwa wakazi wa DSM kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa Novemba 2024 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila, leo Septemba 27, 2024 amemshukuru Rais wa Jamhuri ya […]