FEATURE
on Jul 24, 2023
801 views 53 secs

Jeshi la Marekani na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wamezindua mafunzo ya pili ya pamoja ya kila mwaka katika hafla iliyofanyika katika Kituo cha Mafunzo ya Ulinzi wa Amani Kunduchi Tarehe 21 Julai 2023. Mafunzo haya yatafanyika sehemu mbalimbali Tanzania katika kipindi cha miezi michache ijayo kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya vikosi […]

FEATURE
on Jul 23, 2023
313 views 2 mins

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema taaluma ya Uuguzi ni kazi ya uthubutu, utayari pamoja na kujitoa kwa ajili ya kuwahudumia wenye mahitaji ya kiafya huku akiwataka Wauguzi kuendelea kuchapa kazi kwa weledi na kwa kuzingatia miiko na maadili ya taaluma yao. Mhe. Kikwete […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 22, 2023
409 views 5 mins

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia inapaswa kuangazia changamoto zinazowagusa wananchi wa hadhi zote wakiwemo watu wenye ulemavu na wanaofanyiwa ukatili wa kijinsia. Makamu wa Rais amesema hayo leo tarehe 22 Julai 2023 wakati akizindua Kampeni ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 22, 2023
291 views 2 mins

Mbunge wa Jimbo la Kibakwe ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene ametoa onyo kwa wananchi wanaoharibu vyanzo vya maji huku akiutaka Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kusimamia ipasavyo zoezi hilo. Mhe. Simbachawene ametoa agizo hilo wakati akizungumza na wananchi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 20, 2023
269 views 3 mins

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene, amewataka wananchi kuibua miradi ya kimkakati katika maeneo yao ili Serikali iweze kusaidia katika ukamilishaji wa miradi hiyo. Ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na wananchi kwa nyakati tofauti katika Kata ya Luhundwa, Lufu, Wangi na Wotta, Wilayani Mpwapwa, Mkoani […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 20, 2023
291 views 41 secs

Mwaka wa fedha uliopita wa 2022/2023 Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) ilitengewa kiasi cha shilingi Bilioni 44.5 fedha ambazo zimetumika kufanya shughuli mbalimbali za utoaji wa huduma ya matibabu ya moyo Pamoja na shughuli za maendeleo.  Katika mwaka huo wa fedha  Taasisi imefanikiwa kuwafanyia wagonjwa upasuaji mkubwa wa moyo wakufungua kifua na kuwabadilishia […]

FEATURE
on Jul 20, 2023
420 views 2 mins

Tanzania imeshiriki Mkutano wa Sita wa Kamati Maalum ya Mawaziri wa Fedha, Mipango ya kiuchumi na Mtamangano wa Afrika, uliobeba kaulimbiu ya โ€œAfrika baada ya Majangaโ€: Majadiliano juu ya Uwekezaji, Ukuaji Endelevu wa Uchumi na Ustawi kwa woteโ€. Mkutano huo uliojumuisha nchi 55 wanachama wa Umoja wa Afrika, umefanyika Jijini Nairobi nchini Kenya. Mkutano huo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 20, 2023
240 views 3 mins

Waziri wa Fedha. Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mhe. Nicolas Kazadi, kuhusu mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kutoka Uvinza nchini Tanzania hadi Gitega nchini Burundi kupitia Musongati kwenye machimbo ya madini na kipande kingine cha reli kinachokusudiwa kufika […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 19, 2023
300 views 2 mins

Kufuatia maneno yanayoendelea kuhusiana na uwekezaji wa uendeshaji wa Bandari ya Dar es Salaam imeelezwa kuwa maoni ya wananchi yatakusanywa, yale yatakayoonekana yana tija yataingizwa kwenye mjadala wa mkataba ukaoingiwa kwenye uendeshaji huo wa bandari, lakini suala la Serikali kurudi nyuma ni mwiko, bali mambo yatakuwa ni mbele kwa mbele. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 19, 2023
258 views 3 mins

Waziri wa madini Dotto Bitteko Leo amekutana na wanaChama wa Chama cha wachimbaji wa Madini na Wadau mbalimbali wasekta hiyo na kujadili Mafanikio na changamoto za wachimbaji wa madini jijini Dar es Es Salaam Mkutano huo uliofanyika jijini Dar es salaam Katika hotel ya Johar rontana na kuhudhuriwa na Waziri wa Maji ,Nishati na Madini […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...