FEATURE
on May 29, 2023
360 views 2 mins

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule leo Mei 29, 2023 ameendelea na ziara ya kikazi ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa mabweni katika Shule ya wasichana Bunge, ujenzi wa Shule mpya ya msingi katika eneo la Swaswa na madarasa ya awali katika Shule ya msingi Kisasa ambapo ujenzi wake uko katika hatua za […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 29, 2023
237 views 4 mins

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango, ametoa wito kwa viongozi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuzingatia mipaka na majukumu yao katika utendaji wa kazi ili kuepusha migogoro na miingiliano isiyofaa katika kuwahudumia wananchi. Wito huo ulitolewa wakati Makamu wa Rais alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 29, 2023
438 views 38 secs

Bandari ya Dar es Salaam imefikia rekodi ya kihistoria kwa kuhudumia zaidi ya tani milioni 18 za shehena hadi kufikia Mei 2023. Muda wa kuhudumia shehena umepungua sana na sasa unachukua chini ya siku nne. Mkakati wa maboresho na ujenzi wa miundombinu katika bandari hiyo umesaidia kuongeza ufanisi na kuboresha huduma za bandari. Kina cha […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 28, 2023
172 views 25 secs

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Khamis Hamza Khamisamevitaka vyombo vya habari, taasisi na wadau wa mazingira wa mazingirakuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa utunzaji na uhifadhiwa mazingira ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.Akizungumza leo Mei 26, 2023 wakati wa hafla ya zoezi la upandaji miti katikaShule […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 27, 2023
386 views 30 secs

Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi Ndg. Sophia Mjema ameagiza serikali kushirikiana na wananchi katika kukomesha udumavu mkoani Iringa. \”Dhamira ya CCM kama ilivyolezwa kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 ibara ya 86 ni kuhakikisha watoto wanapata lishe bora na kutokomeza udumavu ili tuwe kuwa na vizazi vyenye nguvu Kazi […]

FEATURE
on May 27, 2023
432 views 3 mins

Meneja miliki wa Mamlaka ya Bandari, Alexander Ndibalema akizungumza na Waandishi wa Habari leo Mei 27, 2023 Serikali kupitia TPA imeamua kujenga Bandari Kavu eneo la Kwala “Quarantine” Ruvu. Katika awamu ya kwanza, Hekta 502 zimetwaliwa na TPA ikiwa ni sehemu ya Hekta 52,000 ya eneo linalomilikiwa na Serikali kupitia Wizara ya Kilimo, Mifugo na […]

FEATURE
on May 26, 2023
254 views 4 mins

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama akizungumza wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa Baraza la Taifa la Watu wanaoishi na Virusi vya UKIMWI (NACOPHA) katika Ukumbi wa Waziri Mkuu Bungeni Jijini Dodoma tarehe 25 Mei, 2023. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala […]

FEATURE
on May 26, 2023
328 views 3 mins

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akitoa salamu za Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakati wa Mkutano wa Kumi wa Kitaaluma wa Makatibu Mahsusi Tanzania unaoendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar. Sehemu ya washiriki […]

FEATURE
on May 26, 2023
322 views 50 secs

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Moshi Kakoso (Kushoto), akipata elimu ya matumizi sahihi ya mfumo wa kieletroniki wa ufuatiliaji wa hali ya kutoka kwa Eng. Jacob Mukasa wa Bodi ya Mfuko wa Barabara, Bungeni jijini Dodoma. Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Abbas Tarimba akitoa maoni yake kuhusu matumizi ya mfumo wa […]

FEATURE
on May 26, 2023
314 views 25 secs

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria chini ya Mwenyekiti wake, Mheshimiwa Dkt. Joseph Mhagama (Mb) ilipokutana na Waziri wa Nchi-Ofisi ya Rais, Menejinenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mheshimiwa George Simbachawene (Mb) ili kupata maelezo kuhusu Muswada wa Sheria ya Tume ya Mipango wa Mwaka 2023.