FEATURE
on May 26, 2023
241 views 27 secs

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kamba pamoja na Raiswa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni kuashiria uzinduzi wa Mradi wa Umeme wa Kikagati โ€“ Murongo, Mbarara nchini Uganda tarehe 25 Mei, 2023. Mradi huo wa umeme utanufaisha nchi zote mbili katika masuala ya Nishati ya umeme. Rais wa Jamhuri […]

FEATURE
on May 26, 2023
346 views 2 mins

Kaimu Mganga Mkuu wa Mifugo Tanzania Dkt. Benezeth Lutege Serikali imesema vifo vya watu wawili vilivyotokea kwa ulaji wa nyama kwenye kijiji cha Msaranga kilichoko Kata ya Kisale, Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro Mei 4 mwaka huu havihusiani kabisa na ugonjwa wa kimeta. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo (25.05.2023) na Wizara ya Mifugo […]

FEATURE
on May 25, 2023
272 views 4 mins

Meneja wa Bandari ya Tanga, Masoud Athumani Mrisha akizungumza na Waandishi wa Habari Baada ya maboresho makubwa hatimaye bandari ya Tanga imeanza kupokea meli kubwa, huku shehena za mizigo pia zikiongezeka kutoka tani laki saba na nusu mpaka tani milioni 3 kwa mwaka, pia ikioneka kuanza kuichangamsha mikoa mingi ya jirani hasa ya Kaskazini.Akizungumza na […]

FEATURE
on May 25, 2023
369 views 4 mins

Songwe. Wakulima wa zao la ufuta mkoa wa Songwe wameanza kuona tija ya kuzalisha zao hilo baada ya kuuza Sh 3678 kwa kilo moja tofauti na misimu ya huko nyuma walikuwa wakiuza sh 2000. Wananchi hao wameanza kuona kuonja manufaa hayo baada ya kuanza kuuza bidhaa hiyo kwa kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani na kuachana […]

FEATURE
on May 24, 2023
401 views 31 secs

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwakushirikiana na Kenya na Uganda kupitia Pamoja Bid wamedhamiria kuwamwenyeji wa michuano ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (African Cup ofNations) 2027.Rais Samia amesema nchi hizo zinawania nafasi hiyo kwa kutambua mafanikiomakubwa ambayo Sekta ya Michezo imepata, hivyo kuwa wenyeji wa AFCON […]

FEATURE
on May 24, 2023
192 views 27 secs

Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe.ย William Somoei Rutoย akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, wakati alipokuwa anawasili Ukumbi wa Mikutano wa South C, jijini Nairobi nchini Kenya, leo Jumatano tarehe 24 Mei, 2023, kwa ajili ya kufungua Mkutano wa Kimataifa wa ID4AFRICA unaojadili masuala ya Ikolojia ya Utambuzi.ย 

FEATURE
on May 24, 2023
342 views 3 mins

Ujumbe wa Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja katika Kituo cha Makumbushoya Nelson Mandela Foundation Mei 23, 2023 Johannesburg Afrika Kusini. Serikali Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibarzimedhamiria kuboresha na kuimarisha uhifadhi wa urithi wa ukombozi kurithisha kizazicha sasa na vizazi vijavyo ili kuinua uchumi wa pande hizo mbili za Muungano. […]

FEATURE
on May 23, 2023
327 views 3 mins

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Zainab Goronya Muruke kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani nchini, kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 23 Mei, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Leila Edith Mgonya kuwa Jaji wa Mahakama ya […]

FEATURE
on May 23, 2023
341 views 10 secs

Mwenyekiti wa jumuiya ya wanawamke CUF (JUKE) ambaye pia alikuwa Mbunge wa Viti Maalumu Kigoma Kaskazini, Kiza Mayeye amejiondoa rasmi leo kwenye chama cha CUF na kujiunga na ACT Wazalendo. Mayeye amekitumikia Chama Cha Wananchi CUF kwa nafasi mbalimbali tangu mwaka 2011 alipojiunga, mwaka 2020 aligombea Ubunge katika jimbo la Kigoma Kaskazini na kwa matokeo […]

FEATURE
on May 23, 2023
237 views 27 secs

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanyamabadiliko madogo ya baadhi ya Wakuu wa Mikoa, uteuzi wa Mkuu wa Mkoa,uhamisho wa Wakuu wa Mikoa na uteuzi wa Mkuu wa Wilaya kama ifuatavyo: Zuhura YunusMkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu