FEATURE
on May 17, 2023
386 views 2 mins

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameunda tume ya watu 14 ambayo itachakata kero na mapendekezo ya wafanya biashara wa soko la kimataifa la Kariakoo. Ameunda tume hiyo leo Jumatano (Mei 17, 2023) wakati alipozungumza na wafanya biashara wa soko hilo katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam. Tume hiyo ambayo imepewa siku 14 kuja na […]

FEATURE
on May 17, 2023
305 views 3 mins

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na Waandishi wa Habari na Watendaji wa ofisi yake (hawapo pichani) jijini Dodoma kuhusu mkutano wa kitaaluma wa Makatibu Mahsusi na Watunza Kumbukumbu utakaofanyika Zanzibar.. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma naUtawala Bora, Mhe. George Simbachawene […]

FEATURE
on May 17, 2023
304 views 4 mins

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Uteuzi na Nidhamu ya Madalali na Wasambaza Nyaraka wa Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya ilipomtembelea ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma tarehe 16 Mei 2023. Kulia ni Katibu Mkuu Eng. Anthony Sanga. Waziri wa Ardhi Nyumba na […]

FEATURE
on May 16, 2023
260 views 2 mins

*Asema atakumbukwa na Jumuiya za Kimataifa kwa utumishi wake Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaomba watanzania kumuombea na kuenzi yote mazuri aliyowahi kufanya marehemu Bernard Kamilius Membe enzi za uhai wake. Amesema hayo leo Jumanne (Mei 16, 2023) alipomuwakilisha Rais Dkt. Samia katika ibada ya mazishi ya Marehemu Bernard Membe […]

FEATURE
on May 16, 2023
280 views 5 mins

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Fatma Rajab akipokea zawadi ya tende kutoka kwa wawakilishi wa Kituo cha Hisani cha Mfalme wa Saudi Arabia. Zawadi hiyo ya tende imetolewa na Serikali ya Saudi Arabia kupitia Kituo hicho na hafla ya makabidhiano imefanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam. Naibu […]

FEATURE
on May 16, 2023
286 views 4 mins

Kamishna Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Sekta ya Fedha, Bi. Dionisia Mjema akifafanua jambo katika kikaokazi cha kuainisha mahitaji ya mfumo wa kielektroniki wa usajili na usimamizi wa Mifuko na Programu za uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kilichofanyika jijini Dodoma. Serikali inaada mfumo wa kielektroniki wa Huduma Ndogo za Fedha ili kuboresha ufanisi wa usimamizi wa Mifuko na Programu za […]

FEATURE
on May 15, 2023
421 views 4 mins

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametekeleza uamuzi wa kufanya uhamisho mkubwa wa baadhi ya Wakuu wa Mikoa katika nchi hiyo. Uhamisho huo umelenga kuleta mabadiliko na kuimarisha utendaji katika ngazi za uongozi wa mikoa. Katika uhamisho huo, Bw. Amos Gabriel Makalla amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza. Kabla […]

FEATURE
on May 15, 2023
259 views 2 mins

Jumuiya ya Wafanyabiashara wa soko la Kimataifa la Kariakoo wamekubali kuendelea kufanya biashara katika soko hilo baada ya Serikali kuridhia kuendelea kutatua changamoto mbalimbali zinazowakibili. Wamefikia uamuzi huo leo (Jumatatu, Mei 15, 2023) baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kufika katika soko hilo na kuzungumza nao kufuatia mgomo ulioanza mapema Mei 15, 2023 ambapo walilalamikia […]

FEATURE
on May 15, 2023
260 views 16 secs

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akikata utepe ikiwa ishara ya uzinduzi ya nyumba ya kupumzikia wageni ikiwa ni mradi wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Bukombe mkoani Geita.

FEATURE
on May 15, 2023
236 views 4 mins

Wananchi wa Mkoa wa Manyara wameishukuru Taasisi ya MoyoJakaya Kikwete (JKCI) kwa kuwapeleka wataalam wa afya mabingwa wa moyo kwaajili ya kuwafanyia uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo.Hayo yamesemwa na wananchi mbalimbali waliojitokeza katika Hospitali ya RufaaMkoa wa Manyara (MRRH) kwa ajili ya kupima moyo wakati wa kambi maalum yasiku tano iliyoanza leo ikifanywa […]