FEATURE
on Jan 20, 2025
101 views 6 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DODOMA WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikitarajiwa kuanza kwa Mkutano Mkuu Maalum kesho, hali ya hekaheka za wajumbe kutoka mikoa mbalimbali imeshika kasi jijini Dodoma. Kutokana na hali hiyo ni wazi kwa siku ya jana Jiji la Dodoma lilikuwa na shangwe huku naba kubwa ya wajumbe kutoka mikoa ya Dar es […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 20, 2025
209 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *Mchakato wa kumjua mrithi wa Kinana kuanza kesho, Dodoma yapambwa na rangi ya kijani kila kona *Hoteli zachukuliwa na CCM, wajumbe waanza kuwasili -DODOMA WAKATI joto la kutaka kujua nani atarithi nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokuwa inashikiliwa na Komredi Abdulrahman Kinana sasa ni wazi vikao vya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 20, 2025
134 views 5 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DODOMA NI Stephen Wasira CCM! Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mqpinduzi(CCM) kupitisha jina lake kuwa Makamu Mwenyekiti akichukua nafasi iliyoachwa na Abdulrahman Kinana. Wasira amepitishwa katika mkutano huo uliofanyika janaย  mjihi Dodoma ambapo amepata kura za ndiyo 1,910 kati ya kura halali 1,917 huku […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 20, 2025
122 views 5 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DODOMA MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amewaonya wanachama wa Chama hicho ambao wameanza kupitisha katika Kata na majimbo kufanya kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 kabla ya wakati. Akizungumza katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM uliofanyika jana Mjini Dodoma ukiwa na ajenda ya kupitisha […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 17, 2025
115 views 46 secs

Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) inashiriki mkutano wa kimataifa wa Utalii na Usafirishaji unaofanyika Dubai, Falme za Kiarabu ambao umeanza tarehe 15/01/2025 na unatarajia kumalizika leo tarehe 16/01/2025. Mkutano huo ambao umeandaliwa na Taasisi ya Teknolojia na Utafiti ya barani Asia (ITAR) unahudhuriwa na washiriki kutoka takribani nchi 52 duniani kote Katika Mkutano […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 16, 2025
138 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) likiwa ndiyo mwakilishi wa wafanyakazi Tanzania na moja wa wadau wakubwa wa sheria za kazi Nchini, tulipokea mapendekezo ya marekebisho ambayo tayari yamekua ni mswada na baadae tukapokea mwaliko wa kuwasilisha maoni yetu kama wadau. Yafuatayo ni baadhi ya maeneo ambayo tumeyatolea maoni ambayo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 16, 2025
110 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ *Wateja wapya 109,918 waunganishiwa na huduma ya umeme nchini* ๐Ÿ“Œ *Kamati ya Bunge yaipongeza TANESCO kwa kuimarisha Miundombinu ya umeme* Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema kuwa uwezo wa mitambo ya kufua umeme iliyounganishwa katika mfumo wa Gridi ya Taifa hadi kufikia mwezi Desemba, mwakajana ni jumla ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 16, 2025
159 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania, Masanja Kadogosa, amesema kuwa serikali inajizatiti kutatua changamoto zinazotokana na mvua katika usafiri wa treni za Mwendokasi (SGR). Kadogosa ameeleza kuwa mvua kubwa inayoendelea kunyesha inasababisha maji kuingia katika sehemu ambazo ziliharibiwa na wahalifu, hivyo kusababisha hitilafu katika miundombinu hali iliyopelekea kusimamishaย  kwa treni […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 15, 2025
115 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ *Watanzania milioni 13.5 kusambaziwa umeme ifikapo 2030 kutoka milioni 5.2 ya sasa* ๐Ÿ“Œ *Asema Mkutano wa Mission 300 umekuwa kivutio duniani; Taasisi za Kimataifa zaonesha nia ya kushiriki* ๐Ÿ“Œ *Ataja sababu za mkutano wa M300 kufanyika Tanzania* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dkt.Doto Biteko amesema kuwa maandalizi ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 15, 2025
114 views 3 mins

๐Ÿ“Œ *Anadi fursa za uwekezaji miradi ya Jotoardhi Baraza la 15  IRENA* ๐Ÿ“Œ *Asema Tanzania ina maeneo 50 yenye vyanzo vya Jotoardhi* ๐Ÿ“Œ *Ngozi, Kiejombaka, Songwe na Luhoi yatajwa kuwa miradi  ya kimkakati uzalishaji Jotoardhi* Abu Dhabi, UAE Imeelezwa kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye rasilimali kubwa ya uwekezaji miradi ya jotoardhi  ambapo jumla […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...