FEATURE
on Oct 13, 2024
226 views 41 secs

Na Mwandishi Wetu Mkuu wa Wilaya ya ubungo Hassan bomboko ameendelea kuwahamasisha wananchi kujitokeza na kujiandikisha Katika Daftari la mkaazi Ili KUSHIRIKI uchaguzi na kumchagua viongozi wa serikali ya mtaa Amesema wamepita Maskani na Vijiwe vyote vya kata ya manzese kuhamasisha wananchi Kuitikia wito wa kujiandikisha “Ni wajibu wa kila Mwananchi wa Ubungo Kujitokeza na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 13, 2024
248 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Onesho la Swahili International Tourism Expo (S!TE) mwaka 2024 limehitimishwa rasmi leo Jijini Dar es Salaam kwa mafanikio makubwa kwa kuingiza takribani wanununuzi 120 wa Kimataifa wa bidhaa za utalii. Akizungumza na waandishi wa Habari leo Oktoba 13,2024 wakati akifunga Onesho hilo katika ukumbi wa Mlimani City,Dar es […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 12, 2024
250 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA _Asema ni mapumziko ya kitaifa, ili wananchi washiriki kupiga kura kikamilifu_ . _Asisitiza kila mwenye sifa ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa_ Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassanย  ameitangaza 27 Novemba mwaka huu, kuwa siku ya mapumziko ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 12, 2024
203 views 54 secs

Utalii wa malikale wanadiwa Na. Joyce Ndunguru, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa   Wanyamapori Tanzania (TAWA) inashiriki maonesho ya Nane ya Kimataifa ya Swahili International Tourism Expo (SITE) yaliyozinduliwa Leo Oktoba 11, 2024 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi katika Ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 12, 2024
170 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu MWANAHABARI Ni Eyasi-Wembere, Songo songo Magharibi na Mnazi Bay* Jotoardhi nayo yatajwa Kongamano la Mafuta Afrika* Kamishna Shirima atoa uhakika wa miundombinu ya gesi asilia Tanzania* Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Dkt. James Mataragio amewakaribisha wawekezaji kuingia ubia na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa ajili ya utafutaji […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 12, 2024
238 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DAR/MIKOANI WAKATI zoezi la uandikishaji wapiga kura likianza kwa siku ya jana nchini hali ya mwitiko wa wananchi imekuwa nzuri huku katika baadhi ya maeneo machache wananchi wajitokeza kwa suasua. Hatua hiyo ni sehemu ya maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji unaoatarajiwa kufanyika Novemba 27,ย  mwaka huu. […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 11, 2024
137 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewataka viongozi wa CCM kutenda haki kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Novemba mwaka huu. Akizungumza na viongozi na wanachama mbalimbali wa CCM Wilaya ya Kahama leo, tarehe 10 Oktoba 2024, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kikazi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 10, 2024
192 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ni kupitia Mkutano wa Wiki ya Mafuta Afrika* Aeleza jinsi Sheria za Tanzania zinavyowiana na mazingira ya uwekezaji* Asema Tanzania ina miundombinu wezeshi ya usafirishaji bidhaa za mafuta na Gesi Asilia* Aeleza miradi inayotoa hakikisho la uwepo wa umeme wa kutosha* Asisitiza Nishati Safi ya Kupikia ni ajenda ya nchi* Naibu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 10, 2024
239 views 14 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 10, 2024
417 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA REA yapongezwa kwa elimu ya nishati safi ya kupikia Yaendelea kugawa majiko banifu na mitungi ya gesi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ruzuku ya asilimia 50 ya bei kwa mitungi ya gesi inayosambazwa nchini na Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Hayo yamebainishwa leo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...