FEATURE
on Oct 6, 2024
290 views 3 mins

Na Beatus Maganja Mradi wa maji safi wenye thamani ya zaidi ya shilingi millioni 50 uliofadhiliwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Nchini – TAWA  Katika Kijiji cha Nkonko kilichopo Kata ya Nkonko wilayani Manyoni mkoa wa Singida unatajwa kuondoa adha ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama kwa wakazi wa Kijiji hicho […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 6, 2024
323 views 5 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DAR ES SALAAM WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa, ameingi kati suala la kero ya maji katika Mkoa wa Dar es Salaa huku akiweka wazi dhamira Rais Samia kuhusu mkakati wa kukabiliana na keroย  ya maji na kutaka huduma hiyo inarejea katika hali ya kawaida kwa haraka. Kutokana na hali hiyo alisema kuwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 6, 2024
321 views 7 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -ARUSHA RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan amepongeza kitendo cha walimu 5000 Jijini Arusha wa Shule za Msingi na Sekondari Jijini Arusha kupatiwa mitungi ya gesi ya Oryx na majiko yake kwa lengo la kuendelea kuunga mkono jitihada za Serikali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia . Akizungumza kwa njia […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 5, 2024
217 views 37 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asema Nishati Safi ya Kupikia inastawisha familia kijamii na kiuchumi* Aeleza athari za ukatajiย  miti na uchomaji mkaa* Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama amesema juhudi za Serikali kupitia Wizara ya Nishati kufikisha umeme hadi maeneo ya Vijijini zinapelekea wananchi kupika kwa kutumia nishati iliyo safi kupitia majiko yanayotumia umeme kidogo. […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 5, 2024
192 views 2 mins

Kijiji cha Kahunda charindima Kwa nderemo na vifijo* Na. Beatus Maganja Maofisa wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Nchini – TAWA kwa kushirikiana na wananchi wa Kijiji cha Kahunda kilichopo Kata ya Katwe Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema na mkoa wa Mwanza wamefanikiwa kumdhibiti mamba aliyezua taharuki takribani wiki nzima Kijijini humo kabla ya kuleta […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 5, 2024
250 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA RAIS Samia Suluhu Hassan amevunja ukimya na kutoa pongezi ya dhati kwa Sekta isiyo rasmi katika kuonesha jitihada kuchingia ukuaji wa uchumi kwa haraka kupitia shughuli mbalimbali za kujiajiri wenyewe.Takwimu zinaonesha kundi hilo lisilo rasmi linachangia asilimia 60 ya mapato yanayochangia kasi ya ukuaji wa uchumi nchini. Kauli hiyo aliitoa jana […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 4, 2024
224 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Tume ya Taifa ya sayansi na teknolojia (COSTECH)Leo imezindua miongozo minne itakayowawezesha uratibu katika masuala ya sayansi na teknolojia na ubunifu. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa miongozo hiyo iliyofanyika leo Oktoba 4,2024 jijini Dar es salaam katibu mkuu wa wizara ya elimu,sayansi na teknolojia Bi Carolyne Nombo amesema […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 3, 2024
198 views 22 secs

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amezitaka Serikali za Vijiji kuweka ajenda ya uhifadhi wa mazingira na kudhibiti moto iwe za kudumu kwa manufaa ya kizazi cha sasa na baadae. Ameyasema hayo leo Oktoba 2, 2024 alipokuwa akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara katika Kijiji cha […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 3, 2024
193 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mwandishi wa habari wa WazoHuru Media Ndg Mathias Canal amewata wananchi Mkoani Singida kuendelea kumuunga mkono Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibu ambaye ni Waziri wa Fedha Mhe. Dkt Mwigulu Lameck Nchemba kutokana na kazi nzuri anayoendelea kuifanya katika Taifa la Tanzania. Amewataka wananchi kumuombea, kumtia moyo na kumpa ushirikiano ili […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 3, 2024
192 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amekagua na kutoridhishwa na kasi ya ujenzi na usimamizi wa barabara ya mzunguko wa nje ya Dodoma (Dodoma Outer Ring Road) km 112.3, sehemu ya Ihumwa Dry Port – Matumbulu – Nala (km 60) kwa kiwango cha lami na kumtaka Mkandarasi Kampuni ya AVIC kuwasilisha mpango […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...