FEATURE
on Sep 24, 2024
215 views 2 mins

Na. Lusungu Helela-Dodoma Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Deus Sangu amesema suala la weledi katika kushughulikia mashtaka ya kinidhamu kwa Watumishi wa Umma nchini bado ni ya kiwango cha chini sana, hali inayopelekea Serikali kuingia gharama pindi rufaa na malalamiko ya mtumishi ambaye hakuridhika na uamuzi wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 24, 2024
224 views 56 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asisitiza Watanzania kuwa sehemu ya Mkakati Aeleza athari za matumizi ya Nishati isiyo safi Atoa hofu ya Gesi kulipuka Naibu Waziri Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mhe. Zainabu Katimba ametoa rai kwa wananchi kuunga mkono kwa vitendo Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia ambayo ni Ajenda iliyoanzishwa na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 23, 2024
188 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA RUVUMA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amekagua na kupokea taarifa ya ukarabati na upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Songea ambao umekamilika kwa asilimia 100% Mkoani Ruvuma. Rais Dkt. Samia amekagua Kiwanja hicho, leo Septemba 23, 2024 mara baada ya kuwasili Mkoani Ruvuma kwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 23, 2024
209 views 3 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Chama Cha Wanahabari wanawake Tanzania TAMWA imezindua Makala yake mpya inayoangazia elimu Bora na Elimu jumuishi Kwa wanafunzi Katika shule za umma Makala hiyo ni Kampeni ya kipindi Cha mwezi mzima  inayolenga kuelimisha jamii Kuhusu umuhimu wa kuwapeleka watoto shule Kwa wakati,hasa wale waliohatarini zaidi.kuacha shule na inalenga […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 23, 2024
265 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA RUVUMA MACHIFU wa makabila mbalimbali nchini wametoa tamko la kuwaomba watanzania kutokubali kuvuruga amani iliyopo na kumheshimu Rais Samia Suluhu Hassan ili aendelee kuwaletea maendeleo. Aidha, wamemshukuru Rais Samia kwa kutambua umuhimu wao na kuahidi kuendelea kuombea uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani ili Tanzania […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 22, 2024
518 views 19 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mamlaka ya dawa na Vifaa Tiba TMDA imesema kwamba imepata taarifa juu ya uwepo wa baadhi ya wafugaji wanaotumia vibaya dawa za kufubaza makali ya virusi vya ukimwi (ARV’S) Ili kunenepesha mifugo Yao. Taarifa iliyotolewa Kwa vyombo vya habari na mkurugenzi mkuu wa TMDA Adam Fimbo amesema mamlaka […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 22, 2024
535 views 11 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Shirikisho la waendesha bodaboda na bajaji Nchi Tanzania leo Septemba 22, 2024 wametoa msimamo wa kutokushiriki maandamano ambayo yamepangwa kufanyika siku ya Septemba 23, 2024 Mkoani Dar Es Salaam yaliyotangazwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA. Msimamo huo umetolewa na Mwenyekiti wa Shirikisho la waendesha bodaboda na bajaji kwaniaba ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 22, 2024
419 views 6 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Deus Sangu akiwa katika ziara ya kikazi  Wilayani  Uyui Mkoani Tabora amefika nyumbani kwa Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi wa Halmashauri ya Wilaya ya  Uyui, Ashura Kangombe kwa ajili ya kutoa pole kufuatia msiba wa Mama […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 21, 2024
282 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Na Happiness Shayo – Iringa Ujenzi wa Barabara ya Iringa – Msembe (km 104) kwa kiwango cha lami uliogharimu takribani shilingi bilioni 142.56 utasaidia  kukuza utalii wa  Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini hasa katika Hifadhi ya Taifa Ruaha kwa kurahisisha ufikaji wa watalii katika hifadhi hiyo. Hayo yamesemwa leo Septemba […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 21, 2024
246 views 47 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Rais Samia ateta na vigogo Jeshi la PolisiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, jana amefanya mazungumzo na viongozi wa juu wa Jeshi la Polisi, wakiongozwa na IGP Camillius Wambura. Kikao hicho kimefanyiia ikiwa ni siku chache baada ya kufanyika maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...