FEATURE
on Sep 17, 2024
402 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Astaajabishwa na wingi wa vivutio na kuahidi kuwahamasisha wageni mbalimbali kutembelea eneo hilo* Mkurugenzi wa Kampuni mashuhuri  ya utalii inayofahamika kama Green Hippo Travels, Astrid Kleinveld akiwa ameambatana na rafiki yake  Naomi Rugenbrink ambao wote ni raia wa Uholanzi,   tarehe 15 septemba 2024, walitembelea eneo la Makuyuni Wildlife Park liliopo wilayani […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 16, 2024
200 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amezindua rasmi zahanati ya Ivilikinge iliyopo Wilayani Makete Mkoani Njombe sambamba na kukabidhi vifaa mbalimbali vya hospitali vilivyotolewa na Benki ya NMB. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi huo, leo Septemba 16,2024, Mhe. Chana […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 16, 2024
234 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asema lengo ni kuepusha uovu na kuchochea maendeleo_* WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa viongozi wa dini na Watanzania kwa ujumla wahakikishe wanasimamia na kuimarisha maadili mema kwa jamii ili kuepuka maovu na kuleta maendeleo endelevu kwa Watanzania. “Nitumie fursa hii kuendelea kutoa rai kwa wananchi, wazazi na viongozi wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 13, 2024
409 views 10 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mitungi ya Gesi 400,000  yapewa Ruzuku* Dkt. Biteko Asisitiza Nishati Safi ya Kupikia kwa Wote* Aagiza Majengo ya Wizara ya Nishati/Taasisi kufunga mifumo ya Umeme Jua* Azindua  Jengo la REA; Aipongeza kwa usimamizi wa miradi, asisitiza huduma bora* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dkt. Doto Biteko amesema Serikali inafanya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 13, 2024
372 views 0 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Bodi ya utalii Tanzania (TTB) inatarajia kuazimisha onesho la nane la SWAHILI INTERNATIONA TOURISM EXPO (S!TE) ambapo onesho hilo litafanyika kuanzia 11 mpaka 13 Oktoba mwaka huu. Akizungumza na waandishibwa habari mapema hii leo septemba 12,2024 Mkurugenzi mkuu wa Bodi ya utalii nchini […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 11, 2024
366 views 5 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Dodoma, Tanzania — Septemba 11, 2024 Katika juhudi za kuboresha uhifadhi wa mazingira nchini, Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imefanya mkutano na Kamisheni ya Tabianchi ya Bonde la Congo (CBCC) pamoja na Mfuko wa Bluu wa Bonde la Congo (CBFF) jijini Dodoma. Mkutano […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 11, 2024
293 views 52 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Taasisi isiyo ya kiserikali ya Rihab Health imeandaa Kongamano la pili la Utengamao wa akili (Rehabilitation  summit) linalokusudia kuendeleza ajenda ya utengamao wa Afya ya akili nchini lenye kauli mbiu ya “kuendeleza ajenda ya utengamao,kuimarisha mifumo ya Afya nchini. Mkurugenzi mtendaji wa shirika hilo Remla Shirima amezungumza na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 11, 2024
282 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DODOMA WAZIRI Mkuu  Kassim Majaliwa amesema suala la uhifadhi wa mazingira liwe ajenda ya Kitaifa na jukumu la kila mmoja kuanzia ngazi ya familia mpaka Taifa. Kauli hiyo aliitoa jana wakati akifunga mkutano maalum wa viongozi na wadau wa mazingira ulioitishwa ili kujadili mwenendo wa mazingira nchini, mkutano ambao ulifanyika kwenye […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 10, 2024
253 views 3 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza Watanzania kunufaika na rasilimali zinazochimbwa katika maeneo yao kwa kutoa fursa mbalimbali  ikiwemo  ajira. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Septemba 10, 2024 mkoani Mtwara katika hafla ya kukabidhi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 10, 2024
339 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MAMLAKA  ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata kilogramu  1,815 za dawa za kulevya aina ya skanka katika operesheni iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Ukamataji huo uliohusisha watuhumiwa watano wanaodaiwa kuhusika na dawa hizo umefanyika kupitia operesheni  iliyofanyika Agosti 28 hadi Septemba 2 mwaka huu katika maeneo ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...