KITAIFA
January 20, 2025
120 views 5 mins 0

RAIS SAMIA ATOA ONYO KWA WANAOJIPITISHA MAJIMBONI KABLA YA WAKATI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DODOMA MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amewaonya wanachama wa Chama hicho ambao wameanza kupitisha katika Kata na majimbo kufanya kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 kabla ya wakati. Akizungumza katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM uliofanyika jana Mjini Dodoma ukiwa na ajenda ya kupitisha […]

KITAIFA
November 29, 2024
132 views 2 mins 0

CPA MAKALA:”UCHAGUZI UMEISHA VIONGOZI MUUNGANE NA KUCHAPA KAZI KUWALETEA MAENDELEO WANANCHI”

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Chama cha Mapinduzi (CCM) kimewataka Viongozi wa Serikali na Chama tawala kutoa ushirikiano kwa viongozi wa vyama pinzani walioshinda katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, kwani nao wameaminiwa na wananchi. Akizungumza jijini Dar es salaam Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa, CPA. Amos Makalla amesema uchaguzi umeisha chama […]

KITAIFA
November 27, 2024
126 views 3 mins 0

GEITA MSINIANGUSHE, MSIIANGUSHE CCM – DKT. BITEKO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Awahimiza Wananchi Kupiga Kura Kesho, Kuchagua CCM* Awapongeza kwa Kampeni za Zakistaarabu* Ataka Siasa Ziwe Daraja la Kuunganisha na Kushindanisha Mawazo* Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka wananchi wa […]

KITAIFA
November 27, 2024
111 views 57 secs 0

HIMAHIMA TUJITOKEZE  KWA WINGI KUPIGA KURA 27 NOVEMBA 2024-KAPINGA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Afunga  kwa kishindo Kampeni za CCM Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mbinga* Asema CCM ni tumaini la Watanzania; Ipate kura za Ndiyo* Akumbusha kuwa miradi ya maendeleo iliyopo ni kielelezo cha viongozi makini wa CCM* Mbunge wa Vijana Mkoa wa Ruvuma (CCM) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith […]

KITAIFA
November 26, 2024
123 views 38 secs 0

BALOZI NCHIMBI AWASILI KUFUNGA KAMPENI ZA SERIKALI ZA MITAA DAR ES SALAAM

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, leo tarehe 26 Novemba 2024, akiwasili katika Viwanja vya Kwamnyani, Mbagala wilayani Temeke, Mkoa wa Dar es Salaam, kwa ajili ya kufunga rasmi kampeni za Serikali za Mitaa kwa mkoa huo. Ni mkutano wa mwisho kwa ajili uchaguzi wa […]

KITAIFA
November 25, 2024
114 views 5 secs 0

WAZIRI CHANA AINADI CCM MAKAMBAKO, AMTAJA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe, Mhe. Balozi , Dkt. Pindi Chana (Mb) amekinadi Chama cha Mapinduzi huku akiwaomba wananchi kuchagua wagombea wa CCM katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27,2024. Ameyasema hayo katika Mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya […]

KITAIFA
November 25, 2024
102 views 55 secs 0

KAPINGA ATUMIA FAINALI YA MPIRA WA MIGUU KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asema baada ya michezo nguvu zielekezwe Novemba 27, 2024* Awataka kuchagua viongozi makini wenye uchungu na maendeleo* Asema CCM ndiyo chaguo SAHIHI* Mbunge wa Vijana Mkoa wa Ruvuma (CCM) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga ameendelea na kazi ya kuhamasisha Wananchi katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa […]