KITAIFA
April 23, 2025
40 views 7 secs 0

MAFUFU: “TANZANIA IPO SHWARI,HATUDANGANYIKI,TUPO TAYARI KUPIGA KURA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wasanii wa filamu nchini,na wadau wa siasa, Jimmy Mafufu na Chiki Mchoma wamejitokeza hadharani kulaani vikali kauli za baadhi ya wanasiasa wanazodai zinatishia amani ya nchi. Wakizungumza na waandishi wa habari leo, Jimmy Mafufu amesema kuwa baadhi ya viongozi wa kisiasa wamekuwa wakitoa matamko yanayohamasisha uasi, jambo ambalo ni hatari kwa […]

KITAIFA
December 12, 2024
153 views 5 mins 0

MBOWE ATOA KAULI KUNG’ATUKA CHADEMA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DAR ES SALAAM MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amevunja ukimya kuhusu hatima ya kung’atua kwake ndani ya chama hicho huku akiweka wazi kwamba bado yupo sana na hatastaafu siasa kwa sasa. Kutokana na hali hiyo amesema kuwa amefanyakazi ya kuimarisha upinzani nchini kwa zaidi ya miaka […]

KITAIFA
November 17, 2024
115 views 7 secs 0

CHADEMA WAKAANGANA ARUSHA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Kanda ya Kaskazini Bw. Godbless Lema anatuhumiwa na baadhi ya wanachama wa Chama hicho Mkoani Arusha kwa kuongoza kwa Ubabe na kupandikiza watu anaowataka yeye kwenye Nafasi mbalimbali zinazowaniwa kwenye Uchaguzi wa kuchagua Viongozi mbalimbali wa Chama hicho Kanda ya Kaskazini. Lema inadaiwa […]

KITAIFA
January 14, 2024
476 views 3 mins 0

MAKONDA.AWAVAA.CHADEMA “WAMEZOEA KUHARIBU UTARATIBU NA KUPOTOSHA

Makonda awavaa Chadema, “wamezoea kuharibu utaratibu na kupotosha” Awajibu kwa hoja upotoshaji wao unaolenga kumtweza Rais Samia na kudhalilisha Watanzania Amjibu Mbowe asitumie agenda ya maandamano uchaguzi wao Awataka Mbowe, Lissu na Mnyika kwenye mdahalo kabla ya maandamano Ampongeza Lissu kupuuza maandamano, kwenda AfCON Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi […]

KITAIFA
August 12, 2023
395 views 3 mins 0

VIJANA WA JUVICUF WAIOMBA SERIKALI VIJANA WENYE MIAKA 18 KUSHIRIKI UCHAGUZI 2025

Ulimwenguni kote Leo huadhimisha kilele Cha siku ya Vijana ambayo inafanyika Katika mikoa mbalimbali Kwa Vijana Kwa kutatua matatizo Yao na kujadiliana hatima ya Vijana wa watanzania.afrika na ulimwengu mzima. Siku hii ya Vijana Duniani ilianzishwa na umoja wa mataifa mnamo mwaka 1999 na kupitishwa Kwa Azimio namba 54/120 Kwani tarehe 12 Agosti ya kila […]