BIASHARA, KITAIFA
July 09, 2024
230 views 2 mins 0

VIWANDA VYOTE NCHINI KUFANYA KAZI

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt Selemani Jafo amesema atahakikisha viwanda vyote vilivyowekezwa Tanzania anavisimamia ili viendelee kuzalisha na kuchangia uchumi na ajira kwa Watanzania. Dkt. Jafo ameyasema hayo Julai 08, 2024 alipotembelea Kiwanda cha Mbolea cha Itracom Fertilize Limited kilichopo Dodoma ikiwa ni baada ya kuingia ofisini kwake. Alisema jitihada […]

BIASHARA, KITAIFA
July 07, 2024
248 views 3 mins 0

DKT JAFO AAHIDI USHIRIKIANO KWA WAFANYABIASHARA

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Saidi Jafo (Mb)  ameihakikishia sekta binafsi hususani  Wafanyabiashara naWawekezaji wa Viwanda kuwa watapata ushirikiano mkubwa  katika kutatua changamoto mbalimbali za kibiashara ili kuhakikisha wanafanya biashara kwa chini ya uongozi wake. Ameyasem hayo Julai 5, 2024,  alipokuwa akizungumza na baadhi ya Taasisi zilizochini ya Wizara yake  zinazofanya kazi […]

BIASHARA, KITAIFA
July 07, 2024
294 views 4 mins 0

WAZIRI JAFO AMEWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA KUFANYA URATIBU NZURI WA SHUGHULI ZA KIBIASHARA ILI KULETA FAIDA

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo, amewahakikishia wafanyabiashara wa Tanzania kufanya uratibu mzuri wa shughuli za kibiashara ili kuleta faida kubwa sana katika nchi. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza kikao cha pamoja kilichowashirikisha watendaji wa Wizara ya viwanda na Biashara ya Tanzania na Wizara ya […]

BIASHARA
July 05, 2024
543 views 2 mins 0

AGRA KUPITIA BBT YAANZA KUTOA MIKOPO KWA  VIJANA ILI WAWEKEZE KWENYE KILIMO

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Jerald Mweli amewataka vijana kuchangamkia fursa zilizopo katika miradi ya kilimo ili kujitengenezea ajira ya kudumu. Mweli amesema hayo katika kongamano la vijana wanaojishughulisha na kilimo nchini lililoandaliwa na shirika la  mageuzi ya kijana Tanzania(AGRA) kupitia mradi wa Building a Better Tomorrow […]

BIASHARA, KITAIFA
July 05, 2024
328 views 2 mins 0

MABADILIKO YA SHERIA YA SUKARI YATAWAKOMBOA WATANZANIA

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA KUFUATIA upotoshaji unaoendelea kutolewa na baadhi ya watu wasiokuwa na ufahamu juu ya sheria mpya ya sukari, Bodi ya Sukari Tanzania imesema kupitishwa kwa sheria hiyo katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inaenda kutowesha mfumuko wa bei ili isimuumize mwananchi, upatikanaji wa uhakika, uwazi katika usambazaji wake pamoja na […]

BIASHARA, KITAIFA
July 05, 2024
319 views 44 secs 0

BODI YA SUKARI YATOA MSIMAMO WA SERIKALI

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA BODI ya Sukari nchini Tanzania imesema msimamo wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwalinda wananchi, wakulima, wawekezaji na wadau wengine muhimu kwa kuhakikisha inafanya maboresho makubwa kwa maslahi ya Watanzanaia wote. Mkurugenzi wa Bodi ya Sukari Tanzania Profesa Kenneth Bengesi, aliwaeleza waandishi wa habari leo jijini Dar es […]

BIASHARA, KITAIFA
July 05, 2024
147 views 4 mins 0

DKT BITEKO SHILINGI BILIONI 108.43 KUWEZESHA UANZISHAJI,UENDELEZAJI VIWANDA VYA KUONGEZA

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Mwananchi Communications Ltd yapongezwa kwa  ubunifu Kongamano la Wajasiriamali wadogo na wa kati kuibua fursa (MSMEs) Serikali kupitia Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) imetoa mikopo ya shilingi bilioni 108.43 ili kuwezesha uanzishaji na uendelezaji wa viwanda vya uongezaji thamani wa mazao ya kilimo na mifugo nchini. Hayo yamebainishwa leo Julai […]

BIASHARA
July 04, 2024
217 views 4 mins 0

TCB YAAHIDI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KWA KULETA HUDUMA ZA KIBUNIFU KIDIGITALI

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM Benki ya Biashara Tanzania (TCB) inajivunia kuwa moja ya washiriki wa maonyesho yanayoendelea ya SABASABA, ambayo yamezinduliwa na Mheshimiwa Rais, Dk. Samia Suluhu Hassan kwani  Maonyesho ya SABASABA ni tukio kubwa la kipekee nchini linalotoa fursa ya kutangaza bidhaa na huduma za sekta mbalimbali. Maonyesho hayo yenye Kauli […]

BIASHARA, KITAIFA
July 03, 2024
230 views 5 mins 0

AGRA INAONGOZA KUWAWEZESHA VIJANA KWA UBUNIFU WA KILIMO 

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Taasisi ya Mageuzi ya Vijana Tanzania (AGRA) imetangaza kuwa itakuwa mwenyeji wa Mkutano wa Sera wa Vijana na Ubadilishaji wa Mifumo ya Chakula, ambao utawakutanisha wawakilishi wa vijana, washirika wa utekelezaji, na wadau muhimu katika mlolongo wa thamani ya mifumo ya chakula ili kuwezesha mazungumzo na vijana ili […]