Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 70)
FEATURE
on Oct 8, 2024
150 views 0 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Lengo ni kutangaza fursa za uwekezaji kwenye Mafuta, Gesi Asilia na Nishati Mbadala* Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga ameshiriki Jukwa la Mawaziri (Ministerial Symposium)ย  nchini Afrika Kusini ikiwa ni sehemuย  Kongamano la Wiki ya Mafuta Afrika (Afrika Oil Week) linalofanyika Jijini Cape Town. Jukwaa hilo pia limehudhuriwa na Naibu […]

FEATURE
on Oct 8, 2024
251 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameitembelea Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mpira wa Miguu (Taifa Stars) inayofanya mazoezi kwenye uwanja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) jijini Dar es Salaam na kusema kuwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassaan anamatumaini makubwa kuwa timu hiyo itafanya vizuri kwenye michezo yote miwili. Mheshimiwa […]

FEATURE
on Oct 8, 2024
196 views 3 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA

FEATURE
on Oct 8, 2024
197 views 3 mins

Na Veronica Simba โ€“ WMA, Dar es Salaam Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, leo Oktoba 7, 2024 imefanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam na kujionea pamoja na mambo mengine, namna Wakala wa Vipimo (WMA) wanavyosimamia sekta ya mafuta. Meneja wa WMA Kitengo cha Bandari, Alfred Shungu amewaeleza […]

FEATURE
on Oct 7, 2024
237 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Amwaga pesa knockout ya Mama Magomeni Wadau wa ngumi washushukuru sapoti ya Rais Samia RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametia mkono katika maendeleo ya mchezo wa masumbwi nchini Tanzania kwa kuamua kutoa zawadi kwa Watanzania wote walioshinda katika mapambano ya ngumi yanayofahamika kama ‘Knockout ya […]

FEATURE
on Oct 7, 2024
202 views 3 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA

FEATURE
on Oct 7, 2024
180 views 53 secs

Waziri Chana azindua Utalii  wa Puto. Maboresho makubwa ya Miundombinu ya Utalii yaja Na Happiness Shayo Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi,Dkt. Pindi Chana (Mb) amezindua rasmi utalii wa puto  ikiwa ni Maadhimisho ya Miaka 60 ya Hifadhi ya Taifa Ruaha. Uzinduzi huo umefanyika leo Oktoba 7,2024 katika eneo la Korongo View ndani ya […]

FEATURE
on Oct 7, 2024
196 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Maelfu ya wananchi wa mji wa Bariadi na vitongoji vyake waliofurika kwenye mkutano mkubwa wa hadhara mjini hapo wamemtuma Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, kufikisha salamu zao kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa wanamhitaji agombee na aendelee kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa […]

FEATURE
on Oct 7, 2024
240 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Yashiriki Samia Kilimo Biashara Expo 2024 Kugawa majiko 790 Wilaya ya Gairo Yanatunza mazingira na rafiki kwa afya ya watumiaji Imeelezwa kuwa, Majiko Banifu yanayotolewa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika Maonesho ya Samia KILIMO Biashara Expo 2024 yanapatikana kwa gharama nafuu, yanatunza mazingira, yanadumu na rafiki kwa afya ya […]

FEATURE
on Oct 7, 2024
251 views 2 mins

Na Happiness Shayo-Morogoro Waziri wa Maliasili na Utalii,  Mhe. Balozi, Dkt. Pindi  Chana amezindua rasmi zoezi la Sensa ya Wanyamapori lengo ikiwa ni kuhesabu Wanyamapori nchi nzima kwa uhifadhi wa rasilimali za wanyamapori, misitu ma kuendeleza utalii. Uzinduzi huo utakaogharimu takribani shilingi milioni 560 katika mfumo wa Ikolojia ya Nyerere – Selous – Mikumi yenye […]