Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 93)
FEATURE
on Jul 29, 2024
264 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA WAKATI uchaguzi wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) ukitarajiwa kufanyika Agosti 2, mwaka huu jijini Dodoma, wagombea nafasi ya Urais  wamejinadi namna ya kujenga chama hicho kwenye misingi yenye nguvu ikiwamo kuondokana na vishoka katika taaluma hiyo. Wagombea wanaowania nafasi hiyo ni Wakili Sweetbert Nkuba, Paul Kaunda, Revocatus Kuuli, Emmanuel Muga, […]

FEATURE
on Jul 29, 2024
302 views 8 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inaendelea na zoezi la kugawa vifaa vya maunganisho mapya ya huduma ya Majisafi kwa wateja walioomba huduma ndani ya eneo la kihuduma la DAWASA ambayo ni Mikoa ya Pwani na Dar es salaam. Zoezi hilo limeendelea katika Mikoa ya kihuduma […]

FEATURE
on Jul 29, 2024
287 views 3 mins

Na Anton Kiteteri Wakati Dunia inaadhimisha Siku ya Homa ya Ini wananchi wamelalamikia kukosekana kwa elimu juu ya ugonjwa huo, hali ambayo inasababisha watu wengi kushindwa kufahamu namna ya kujikinga. Wananchi hao wanasema kukosekana kwa elimu kunasababisha wengi wao kuchelewa kugundua na kutibu ugonjwa na kuufanya usambae na kusababisha ongezeko la maambukizi. Pia wananchi wengi […]

FEATURE
on Jul 29, 2024
234 views 52 secs

Na Anton Kiteteri Chama Cha ANC kimemfukuza uanachama rais wa zamani wa Africa Kusini Jacob Zuma.Uamuzi huo ambao haujatangazwa rasmi, ulichukuliwa baada ya kesi za kinidhamu kuanzishwa mwezi huu dhidi ya kiongozi huyo wa zamani ambaye bado ana umaarufu na ushawishi mkubwa nchini humo. “Mwanachama aliyeshtakiwa amefukuzwa katika chama cha ANC,” umesema waraka uliovuja, ambao […]

FEATURE
on Jul 29, 2024
327 views 5 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kupitia Jeshi la Polisi, imesema inafuatilia kwa karibu na itawachukulia hatua wote watakaobainika kujihusisha na tabia ya kutumia vyomvo vya habari na mitandao ya kijamii kuzusha taarifa za uongo zinazohusisha uhalifu ukiwemo wa watoto kupotea au kutekwa na hivyo kuzua taharuki […]

FEATURE
on Jul 28, 2024
264 views 30 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA , KATIBU  Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, leo amewasili Mkoani Mtwara kwa ziara ya kikazi ya siku  tano  huku akiwataka wanachama wa CCM kuwa madhubuti kushikamana, kupendana,kushirikiana na kutambua kuwa  wanawajibu wa kuwatumikia watanzania kwa nguvu zote. Hayo ameyasema leo baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege […]

FEATURE
on Jul 28, 2024
366 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mamlaka ya Dawa na Vifaa tiba TMDA imebaini kuwepo Kwa taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii Kuhusu uwepo wa dawa aina ya paracetamol ambayo imeandikwa P 500 na kudaiwa kubabua ngozi Ameyasema hayo mkurugenzi wa Dawa na vifaa tiba TMDA Adam Fimbo Amesema Dawa iyo inayodaiwa kuwa ni […]

FEATURE
on Jul 27, 2024
363 views 5 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ashiriki Bonanza la Nishati Dodoma* Ataka Watumishi kupendana na kushirikiana* Atunukiwa Nishani ya Uasisi Bonanza la Nishati* EWURA yaibuka mshindi wa Jumla; Mkurugenzi Mkuu amshukuru Dkt.Biteko kuthamini Watumishi* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe, Dkt. Doto Biteko amewakumbusha Watumishi wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake kuiishi  Kauli Mbiu […]

FEATURE
on Jul 27, 2024
435 views 4 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Leo tarehe 27 Julai 2024, Watumishi wa Wizara ya Nishati na Taasisi zilizo chini yake wameshiriki katika michezo mbalimbali  katika Bonanza la Nishati Jijini Dodoma likibebwa na Kaulimbiu Shiriki Michezo Imarisha Afya. Mgeni rasmi katika Bonanza hilo ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ambaye ameambatana […]

FEATURE
on Jul 27, 2024
474 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu- Zimbabwe Tanzania inatarajiwa kuwa Mwenyeji wa Kongamano la Pili la Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani (UN Tourism), Kanda ya Afrika kuhusu utalii wa vyakula vya asili katika Bara la Afrika kwa mwaka 2025. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani (UN Tourism), […]