FEATURE
on Nov 28, 2024
171 views 19 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Wakili Stephen Byabato leo Tarehe 27 Novemba 2024 amepiga kura kuwachagua Viongozi wa Serikali za Mitaa katika kituo cha Chuo Huria Mtaa wa Migera – Nshambya Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera.

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 27, 2024
94 views 13 secs

Na Mwandishi Wetu-Rukwa Naibu Waziri, Menejimenti ya Utumishi wa Umma ma Utawala Bora Mhe.Deus Sanguย  amesisitiza umuhimu wa Wananchi wa Jimbo la Kwela kushiriki kikamilifu katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa huku akibainisha kuwa uchaguzi huu ni fursa kwa wananchi kupata viongozi wa karibu wanaojuaย  changamoto zinazowakabiliย  za moja kwa moja katika maeneo yao. Mhe.Sangu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 27, 2024
187 views 19 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga kura kwa ajili ya kuchagua viongozi kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mtaa katika kitongoji cha Sokoine, Chamwino mkoani Dodoma tarehe 27 Novemba, 2024.

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 27, 2024
194 views 30 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA Novemba 27, 2024 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ametimiza haki yake ya msingi ya Kikatiba baada ya kukamilisha zoezi la kupiga kura katika Kituo cha Ofisi ya Serikali ya Mtaa Masaki Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Mkoa wa Dar es Salaam. […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 27, 2024
110 views 35 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa viongozi watakaochaguliwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa kutumia vema nafasi hizo kuwaletea wananchi maendeleo. Makamu wa Rais ametoa wito huo mara baada ya kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kitongoji cha Kihanga Kijiji […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 27, 2024
111 views 44 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Aungana na Wananchi kuchagua Viongozi Kitongoji cha Mheza* Ahimiza Watanzania kuendelea kujitokeza kupiga kura* Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga leo ameshiriki zoezi la kupigakura katika Kitongoji cha Mheza kijiji cha Mkumbi Halmashauri ya Mbinga Vijijini ili kuchagua viongozi wa eneo husika. Kapinga ameeleza kuwa, kwa kufanya hivyo ametimiza haki […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 27, 2024
128 views 20 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA DKT. Biteko apongeza Wananchi Kujitokeza kwa wingi* Awahimiza kujitokeza kuwachagua viongozi* Watanzania katika maeneo mbalimbali ya nchi wamejitokeza kupiga kura kwa ajili ya kuwachagua viongozi wao ngazi ya Serikali za Mitaa. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametimiza haki yake ya Kikatiba katika Kata ya Bulangwa, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 27, 2024
183 views 3 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 27, 2024
128 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Awahimiza Wananchi Kupiga Kura Kesho, Kuchagua CCM* Awapongeza kwa Kampeni za Zakistaarabu* Ataka Siasa Ziwe Daraja la Kuunganisha na Kushindanisha Mawazo* Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka wananchi wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 27, 2024
113 views 57 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Afunga  kwa kishindo Kampeni za CCM Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mbinga* Asema CCM ni tumaini la Watanzania; Ipate kura za Ndiyo* Akumbusha kuwa miradi ya maendeleo iliyopo ni kielelezo cha viongozi makini wa CCM* Mbunge wa Vijana Mkoa wa Ruvuma (CCM) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...