Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 103)
FEATURE
on Jul 1, 2024
340 views 5 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM Aliyekuwa Mgombea waย  nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Alliance For Democratic Change (ADC) Doyo Hassan Doyo amesema hayatambui matokeo ya uchaguzi yaliyomtangaza Shaban Itutu kama Mwenyekiti wa Chama kutokana na uchaguzi huo kutozingatia katiba ya Chama hicho. Doyo Hassan Doyo ambaye alionekana kutokuwa na upinzani […]

FEATURE
on Jul 1, 2024
240 views 3 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA MKURUGENZI Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Bwana Raymond Mndolwa, amewataka wahandisi na watumishi wa Tume kuheshimu, kusimamia na kutekeleza miradi kwa viwango na ubora. Amesema ni aibu kwa taasisi kuwa na miradi isiyokidhi viwango hivyo hatakuwa tayari kuona miradi hiyo inaiangusha serikali na Ilani ya Chama Cha Mapinduzi. Mndolwa […]

FEATURE
on Jun 29, 2024
166 views 2 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Jeshi la Polisi Kikosi cha Polisi Wanamaji kinaendelea na ufuatiliaji maalum kuanzia Meiย  hadi Juni, 2024 katika kudhibiti uhalifu ukanda wa Bahari ya Hindi. Katika ufuatiliaji huo kikosi kazi cha Polisi Wanamaji Dar es salaam kikitumia boti za Polisi walifanikiwa kukamata majahazi mawili, MV. UKIMAINDI POA na jahazi lingine lisilokuwa na […]

FEATURE
on Jun 29, 2024
350 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetaka wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu kutumia njia mbadala ya uchenjuaji na kuacha matumizi hatarishi ya kemikali ya zebaki ambayo ni hatari kwa afya ya binadamu na Mazingira. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Tafiti za Mazingira NEMC Dkt. Menan Jangu […]

FEATURE
on Jun 28, 2024
209 views 3 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Heshimuni matumizi ya fedha za miradi* Wizara iwasaidie vijana kuanzisha kampuni na kuwapatia kazi ndogo ndogo ili kuwajengea uzoefu* Makandarasi wazawa kupewa kipaumbele katika malipo ya kazi walizofanya* Wakandarasi wanawake wapongezwa* ๐Ÿ“Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Makandarasi nchini kutekeleza miradi ya […]

FEATURE
on Jun 28, 2024
308 views 28 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Kijiji cha Bima kimezinduliwa rasmi leo, Juni 28, 2024, katika Maonesho ya 48 ya Sabasaba yanayofanyika Dar es Salaam. Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) na wadau wake wamekusanyika katika tukio hili muhimu kuashiria umoja wao katika sekta ya bima, wakilenga kuboresha huduma za bima kwa Watanzania na kuhakikisha soko […]

FEATURE
on Jun 28, 2024
399 views 2 mins

Na Happiness Shayo Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amesema kuwa katika kuhakikisha kunakuwapo na vyanzo endelevu vya uzalishaji wa mbegu bora za miti sambamba na ulimaji miti hiyo kibiashara, Serikali kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imeanzisha upandaji wa miti jamii ya Mninga katika mashamba yake ya Miti […]

FEATURE
on Jun 28, 2024
298 views 4 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Amtaka Meneja kuhakikishaย  anawasimamia vema mkandarasi Mradi kuleta tija kwenye upatikanaji wa Umeme Kishapu, Shinyanga Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga ameridhishwa na hatua mbalimbali za maendeleo katika upatikanaji wa huduma ya Umeme mkoaniย  Shinyanga huku akimsisitiza mkandarasi mradi wa umeme wa Jua wilaya ya […]

FEATURE
on Jun 27, 2024
252 views 3 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Asema ni chanzo cha mmomonyoko wa maadili* Ahusisha na ukatili wa kijinsia na mauaji ya Albino* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kuzingatia utamaduni wao na katu wasiendekeze utamaduni wa kigeni kwan kwa kufanya hivyo ni sawa na kuuza uhuru wao kama nchi. Dkt. […]

FEATURE
on Jun 27, 2024
299 views 3 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM SERIKALI imesema itaendelea kuboresha mazingira ya kisera na kisheria ili kuimarisha zaidi Sekta ya Habari nchini. Hayo yomebainishwa leo Juni 27, 2024 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Thobias Makoba akifungua kongamano la Uhuru wa Vyombo vya Habari […]