Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 99)
FEATURE
on Jul 9, 2024
323 views 4 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mwanasheria wa Chama Cha Alliance For Democratic Change (ADC), ambaye pia Mjumbe wa Kamati ya Rufaa wa chama hicho, John Mbogo amesema wamejipanga kufanya mabadiliko madogo katika Katiba na Kanuni zinazohusu mchakato wa uchaguzi ili kuondoa migogoro kutokea baada ya kufanyika chaguzi ndani ya chama hicho. Akizungumza makao […]

FEATURE
on Jul 9, 2024
326 views 3 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA TABORA Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetoa wito kwa wananchi na wapiga kura wa mkoa wa Tabora kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha taarifa zao kwenye uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaotarajiwa kufanyika kwenye mikoa hiyo kuanzia Julaiย  20 hadi 26,2024. Akifungua mkutano wa wadau wa uchaguzi […]

FEATURE
on Jul 9, 2024
267 views 2 mins

Na Happiness Shayo Morogoro Menejimenti na Watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) wmetakiwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na miongozo iliyopo katika kuongeza tija na kuboresha utendaji kazi wa Mamlaka  hiyo. Rai hiyo imetolewa leo Julai 8,2024 na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) katika kikao chake na Menejimenti ya […]

FEATURE
on Jul 9, 2024
231 views 2 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt Selemani Jafo amesema atahakikisha viwanda vyote vilivyowekezwa Tanzania anavisimamia ili viendelee kuzalisha na kuchangia uchumi na ajira kwa Watanzania. Dkt. Jafo ameyasema hayo Julai 08, 2024 alipotembelea Kiwanda cha Mbolea cha Itracom Fertilize Limited kilichopo Dodoma ikiwa ni baada ya kuingia ofisini kwake. Alisema jitihada […]

FEATURE
on Jul 9, 2024
231 views 31 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt Selemani Jafo amemuagiza Mkandarasi Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kuongeza kasi ya ukamilishaji wa jengo la wizara hiyo kwa wakati. Dkt Jafo aliyasema hayo wakati alipotembelea Jengo la Wizara hiyo kugagua ujenzi unaoendelea mara baada ya kuwasili katika Ofisi za Wizara hiyo Julai […]

FEATURE
on Jul 9, 2024
245 views 59 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt Selemani Jafo aliwasisitiza wafanyakazi wa wizara na taasisi zilizochini yake kufunga mkanda kuhakikisha sekta ya viwanda na biashara zinapiga hatua. Dkt. Jafo aliyasema hayo Julai 08, 2024 wakati akiongea na Menejimenti na Watumishi wa Wizara ya Viwanda na Biasharaย  wakiongozwa na Naibu Katibu Mkuu […]

FEATURE
on Jul 8, 2024
394 views 3 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Ampongeza Dkt. Biteko kwa kuiongoza vyema Wizara na TANESCO kwa utekelezaji wa miradi* Akagua vituo vya kupoza umeme Nguruka na Kidahwe* Aagiza ifikapo Septemba Kigoma iwe imeingia kwenye Gridi ya Taifa* Kapinga asema Wizara haitakuwa kikwazo cha wananchi kupata umeme wa uhakika* Makamu wa Rais, Mhe. Dkt Philip Isdor Mpangoย  ameipongeza […]

FEATURE
on Jul 8, 2024
246 views 24 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Katibu wa itikadi na mwenezi na mafunzo CPA Amos Makala Amesema Jitihada za serikali ni kuona uboreshaji wa huduma Kwa wananchi wao Ameyasema hayo Leo Tarehe 08 Julai 2024 Katibu wa itikadi na mwenezi na mafunzo CPA Amos Makala Akiwa Katika ziara yake ya pili ya kusikiliza kero […]

FEATURE
on Jul 7, 2024
311 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Waziri wa viwanda na biashara Suleiman jafo Leo ametembelea Katika maonyesho 48 ya Kimataifa ya Sabasaba ambayo yanakuwa Kwa kila mwaka wa mwezi wa Saba na watu wa mataifa wote wanakuwa hapo Kwa ajili ya kutangaza biashara zao Waziri wa viwanda na biashara Suleiman jafo Amesema Katika maonesho […]

FEATURE
on Jul 7, 2024
251 views 3 mins

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Saidi Jafo (Mb)  ameihakikishia sekta binafsi hususani  Wafanyabiashara naWawekezaji wa Viwanda kuwa watapata ushirikiano mkubwa  katika kutatua changamoto mbalimbali za kibiashara ili kuhakikisha wanafanya biashara kwa chini ya uongozi wake. Ameyasem hayo Julai 5, 2024,  alipokuwa akizungumza na baadhi ya Taasisi zilizochini ya Wizara yake  zinazofanya kazi […]